Itakua alikua ana drive mkokoteni wa kuuzia majiNimeona umeandika kwamba "nikasimama kwanza ili nisisabishe ajari", kwahiyo mkuu una gari au una honda au una baiskel,, au ulimanisha ajari ya kugongwa?
Umesema ya kweli kabisa.WAZEE WA KATAA NDOA WAPO WAPI NDOA NI MATESO UNAMPENDA MTU NAE ANA WAKE ANAEMPENDA ALWAYS WANAWAKE KUIGIZA NDIO ZAO ANAWEZ ISHI NA WEWE MIAKA HATA 10 KUMBE KUNA VITU ANAKUWA AMETAGERT HAO NI MAMA ZETU LAKINI UKWELI NI SHIDA SANA HAWAELEWEKI HAO POLE MKUUU
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
🤓🤓🤓😂😂😂😂Angekuwa hajasema tungekuwa hapa kwenye huu uwanja...?
Bahati mbaya sana, nilishazifuta mkuu.Hapana, usichukue maamuzi ya haraka
Zimenitesa sana leo, nikaona hakuna namna zaidi ya kuzifutilia mbali.Futa hizo picha zitakuumiza sana!
Aisee!!Mbona bado ajasema...!!![emoji851][emoji851][emoji851][emoji23][emoji23]
Sema umefikia hatua nzuri sana mkuuAisee!!
jamaa alikutunzia risiti 😁Mkuu hujasahau tu...
J wa morogoro ni wewe hakuna mwingineI hope huyo J sio Joannah Mimi wa Morogoro..... Anyways be strong,kila jambo lina sababu zake.
Nakushukuru sana mkuu kwa falsafa hizi, nitajitahidi niishi nazo.Pole Mkuu Amicus Curiae huwa naelewa sana falsafa zifuatazo katika mahusiano.
1. Ni makosa makubwa mwanamke kufahamu kuwa bila yeye mambo yako yatakwqma, hakika mwanamke akilijua hilo lazima akusumbue tu.
2. Hii inabebana na iyo ya kwanza, kamwe mwanaume haupaswi kujishusha mbele ya mwanamke hasa mwanamke uliye naye kwenye mahusiano. Huna sababu ya kujieleza kwa jambo lolote kwake. Ila muhimu wewe muheshimu tu na mipaka izingatiwe.
3. Usimuombe mwanamke kumuoa wewe fanya mambo yako hadi siku yeye atakapoomba wewe umuoe na kamwe usikubali akuendeshe au kukulazimisha kumuoa
Sasa Mkuu huyu mwanamke alijua bila yeye mambo yako hayataenda, huyo usihangaike naye kabisa funga ukurasa focus kwenye mambo mengine.
Pole sana Mkuu Amicus Curiae
Mpaka aseme 🤓🤓🤓😂J wa morogoro ni wewe hakuna mwingine
Nashukuru sana mkuu. Muda ndio muamuzi mzuri.Dada kapindua meza, pole mwamba. Hapo kashapata option nyingine anayoamini ndio sahihi.
Vuta subira kidogo, muda huwa hausemi uongo, utajua kila kitu kwa undani wake.
na bado hajasema 😁Mpaka aseme 🤓🤓🤓😂
😁😁😁😁😁Chuma cha mjerumani hicho
🤣🤣🤣🤣🤣Mpambe nuksiMpaka aseme 🤓🤓🤓😂
Unachosema ni kweli kabisa mkuu.Pole sana...
IT’S DIFFICULT”.
Hii ni layer ambayo kama si mvumilivu, safari yako inaweza kuishia hapa, lakini kwa wanaokomaa hujiambia, “ni ngumu lakini nitajaribu”. Ctrl + C
Sio Mimi kabisaJ wa morogoro ni wewe hakuna mwingine