Nimeachwa na nimekubali, ingawa naumia moyoni

Nimeachwa na nimekubali, ingawa naumia moyoni

WAZEE WA KATAA NDOA WAPO WAPI NDOA NI MATESO UNAMPENDA MTU NAE ANA WAKE ANAEMPENDA ALWAYS WANAWAKE KUIGIZA NDIO ZAO ANAWEZ ISHI NA WEWE MIAKA HATA 10 KUMBE KUNA VITU ANAKUWA AMETAGERT HAO NI MAMA ZETU LAKINI UKWELI NI SHIDA SANA HAWAELEWEKI HAO POLE MKUUU

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Umesema ya kweli kabisa.

Asante sana mkuu.
 
Pole Mkuu Amicus Curiae huwa naelewa sana falsafa zifuatazo katika mahusiano.

1. Ni makosa makubwa mwanamke kufahamu kuwa bila yeye mambo yako yatakwqma, hakika mwanamke akilijua hilo lazima akusumbue tu.

2. Hii inabebana na iyo ya kwanza, kamwe mwanaume haupaswi kujishusha mbele ya mwanamke hasa mwanamke uliye naye kwenye mahusiano. Huna sababu ya kujieleza kwa jambo lolote kwake. Ila muhimu wewe muheshimu tu na mipaka izingatiwe.

3. Usimuombe mwanamke kumuoa wewe fanya mambo yako hadi siku yeye atakapoomba wewe umuoe na kamwe usikubali akuendeshe au kukulazimisha kumuoa

Sasa Mkuu huyu mwanamke alijua bila yeye mambo yako hayataenda, huyo usihangaike naye kabisa funga ukurasa focus kwenye mambo mengine.

Pole sana Mkuu Amicus Curiae
Nakushukuru sana mkuu kwa falsafa hizi, nitajitahidi niishi nazo.

Nadhani nilikosea sana kumfanya huyu mwanamke ajue nampenda, akaamua kunichukulia poa.
 
Back
Top Bottom