Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Kwakweli ni changamoto, asa sijui inatakiwa kifanyike niniMatatizo siku hizi yanaanzia nyumbani ndiyo maana uasherati na uzinzi unazidi.
Wanawake wengi wanaanza kuvuliwa chupi na watu wao karibu kabisa, na wanaume ni hivyohivyo.
Watu wanadharau masomo ya dini amabayo yanafundisha maadili, ndiyo matokeao yake hayo.