Nimeachwa nifanye nini

Nimeachwa nifanye nini

Majuba siyo sheria Kiislam, ni mapendeleo tu ya mtu.

Uislam umehimiza Hijaba, hijab maana yake ni kuwa "modest", yaani mavazi yenye maadili mema, ysiyoweza kukera wala kutamanisha watu. Katika mavazi hilo ni kwa mwanamke na mwanamme.

Yale majuba mimi sijawahi kuvaa n awala sielewi maana yake nini? Labda ingekuw nchi ha baridi ningezema wanajikinga na baridi. Joto hili, mijuba, mosksi, mi gloves/ Aah, hiyo siyo mila wala desturi ya Kiislam.

Uislam unaenda na wakati, mradi tuwe "modest".
Mama FaizaFoxy nautambua mchango wako sana. Nashauri ungetengeneza uzi ukipata muda kuwafunda dada zetu.
 
Majuba siyo sheria Kiislam, ni mapendeleo tu ya mtu.

Uislam umehimiza Hijaba, hijab maana yake ni kuwa "modest", yaani mavazi yenye maadili mema, ysiyoweza kukera wala kutamanisha watu. Katika mavazi hilo ni kwa mwanamke na mwanamme.

Yale majuba mimi sijawahi kuvaa n awala sielewi maana yake nini? Labda ingekuw nchi ha baridi ningezema wanajikinga na baridi. Joto hili, mijuba, mosksi, mi gloves/ Aah, hiyo siyo mila wala desturi ya Kiislam.

Uislam unaenda na wakati, mradi tuwe "modest".
Nimekuelewa na nimependa pia hiyo dhana ya Kua modest sio lazima uvae majuba.. kwakweli nimeanza kuvutiwa na uislam
 
Haukubali unataka kufanyaje? Ukiachwa achika songa mbele
 
Ukute una jini mahaba kinakuyumbisha kwenye mahusiano yako,Pambana kutafuta usaidizi wa kiroho..Huu ulimwengu una mambo.
 
Mlio achwa poleni, msio na baby poleni, mkakojoe kalaleni......kama big g yaaan utamu kama big g....hapa chini shuka tena......mbona nini unahema.......mashimo yote kanapita....😅😅😅😅🚯🚯🚯🎶🎶🎶🎶🎶
 
2022 mwezi wa kwanza niliachwa mwaka ukaisha single, 2023 nikaachwa mwezi kama huu Na mwaka huu tena mwezi wa kwnza nimeachwa sikubali
Ukiachwa achika , halafu tulia tafakari ni sababu gani inafanya uachike huenda shida ipo kwako, pole sana.
 
Itakuwa mwezi Januari unaomba sana pesa, ikiwemo kodi ya nyumba ama mahitaji ya mtoto wako ya shule.
Hilo nalo akalitizame huenda anaomba mno mtu anaamua kukimbia, anapeleka mtoto shule ya gharama halafu pesa ya kuomba lazima ukimbiwe
 
2022 mwezi wa kwanza niliachwa mwaka ukaisha single, 2023 nikaachwa mwezi kama huu Na mwaka huu tena mwezi wa kwnza nimeachwa sikubali
Ukichengwa Tulia[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Back
Top Bottom