Nimeagiza supu ya samaki kumbe bei ni elfu 40,000 na mimi nina elfu 10,000, Kigoma nimekoma!

Nimeagiza supu ya samaki kumbe bei ni elfu 40,000 na mimi nina elfu 10,000, Kigoma nimekoma!

Hypersonic WMD

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,337
Reaction score
1,876
Nimekuja bar nimeagiza supu nimezoea zangu mwanza supu elf 5 had elf6.

Bili inakuja kumbe supu ya samaki huku huwa n elf 30 had 40!

Huyu nilokula ni elf 40.

NIMEWAMBIA NAKUJA NIKO CHOONI NALIA
 
Back
Top Bottom