Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Basi weka ya MIXX BY YAS ☺️ tukuokoeewe jamaa lipa no ya halotel nitaipata wap??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi weka ya MIXX BY YAS ☺️ tukuokoeewe jamaa lipa no ya halotel nitaipata wap??
Basi weka ya MIXX BY YAS ☺️ tukuokoee
yaaan aibu iliojeTatizo linaanziaga pale unapoonekana ni mtu mwenye hela halafu situation kama hiyo ikukute hauna chochote 😣
UongoNimekuja bar nimeagiza supu nimezoea zangu mwanza supu elf 5 had elf6.
Bili inakuja kumbe supu ya samaki huku huwa n elf 30 had 40!
Huyu nilokula ni elf 40.
NIMEWAMBIA NAKUJA NIKO CHOONI NALIA
Wape hiyo hiyoelf 10
Hiyo bar inaitwaje iliyozidi viwango vya bei ya soup ya samaki mpaka hotel za nyota 3 jijini ambapo hakhna maziwq wala mito?Nimekuja bar nimeagiza supu nimezoea zangu mwanza supu elf 5 had elf6.
Bili inakuja kumbe supu ya samaki huku huwa n elf 30 had 40!
Huyu nilokula ni elf 40.
NIMEWAMBIA NAKUJA NIKO CHOONI NALIA
Kama hujauliza bei tangu mwanzo hata supu ya 5,000 unaweza kupigwa 40,000 tu.Nimekuja bar nimeagiza supu nimezoea zangu mwanza supu elf 5 had elf6.
Bili inakuja kumbe supu ya samaki huku huwa n elf 30 had 40!
Huyu nilokula ni elf 40.
NIMEWAMBIA NAKUJA NIKO CHOONI NALIA
huu utapeli sikujua hata kigoma upoKama hujauliza bei tangu mwanzo hata supu ya 5,000 unaweza kupigwa 40,000 tu.
Si umekuja kifogo kuagiza bila kuuliza bei?
Imewahi nikuta situation kama hiyo,, ilibidi nimcheki jamaa yangu chapu akanitumia,, nikalipa kwa lipa namba ,, ninge dhalilika ile siku . 😎yaaan aibu ilioje
Lete lipa nambaTuma lipa namba tumalize, Kilio cha elfu arobaini ni cha ajabu sana hasa kwa status ya jinsia yako.ME
Vyakula vizuri vinazidi kuwa ghali sana bongoAmeeleza hajai hata kwenye kigoda aisee!
Kaza mkuu, wachane una buku 5 tu, kama mbwai na iwe, acha unyonge.misamaki ya ajabu ajabu tu