Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
- Thread starter
- #61
ndo nnNgoja waku mixx by yass
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo nnNgoja waku mixx by yass
najutaMimi nikienda nunua hata big G nauliza bei
Kigoma hawana ufirauni huoNgoja waku mixx by yass
😂😂😂😂we jamaa banaKaza mkuu, wachane una buku 5 tu, kama mbwai na iwe, acha unyonge.
yaanVyakula vizuri vinazidi kuwa ghali sana bongo
Siku hizi wanabeba simu washagundua masela wengi vyombo wanaosha ila smartphone hawakosiJiandae kufungiwa store ukiosha vyombo
wakiniua jeWaambie wakuue huwalipi
hii hapa kiongoziLete lipa namba
Kweli asee njemba Iko radhi ikeshe na vyombo ilimradi imeshiba makukuSiku hizi wanabeba simu washagundua masela wengi vyombo wanaosha ila smartphone hawakosi
Pole sana. Mimi nina utaratibu wa kuuliza bei kabla ya kuagiza chakula, ili kujipesha na aibu ndogo ndogo kama hiziNimekuja bar nimeagiza supu nimezoea zangu mwanza supu elf 5 had elf6.
Bili inakuja kumbe supu ya samaki huku huwa n elf 30 had 40!
Huyu nilokula ni elf 40.
NIMEWAMBIA NAKUJA NIKO CHOONI NALIA
Kwa hio abagein?Kaza mkuu, wachane una buku 5 tu, kama mbwai na iwe, acha unyonge.
🤣🤣Mimi matabe .... nimekomaJiandae kufungiwa store ukiosha vyombo
Utalala na mpishi mbaya zaidi mpishi ni MwanaumeNIMEWAMBIA NAKUJA NIKO CHOONI NALIA
mi huwa sipigi ningejua biliSupu ya samaki bila picha ni takataka TU.
All the best
ndio lakini ni mlemavu hanithi😂😂Utalala na mpishi mbaya zaidi mpishi ni Mwanaume
wakinikamata hapo wataniuaRudi mezani agiza na bia mbili, fungua mimina nusu glass piga fundo moja, kisha pokea simu feki, sogea pembeni ongea kwa muda wakati ukitazama umakini wa wahudumu kama wanakutilia mashaka, akili nyingine toa kwenye ubongo wako...
mezaniHiki kibao cha Lipa namba kipo chooni mkuu?