Nimeagiza supu ya samaki kumbe bei ni elfu 40,000 na mimi nina elfu 10,000, Kigoma nimekoma!

Nimeagiza supu ya samaki kumbe bei ni elfu 40,000 na mimi nina elfu 10,000, Kigoma nimekoma!

Attachments

  • C798A744-E910-4028-8A8B-B36C4BDD9AE5.jpeg
    C798A744-E910-4028-8A8B-B36C4BDD9AE5.jpeg
    376.7 KB · Views: 3
Usikimbie deni tu huko kuna jamaa nasikia alipiga dhulma wakamroga alikuwa anatoa dagaa kama haja ndogo😟
 
Nimekuja bar nimeagiza supu nimezoea zangu mwanza supu elf 5 had elf6.

Bili inakuja kumbe supu ya samaki huku huwa n elf 30 had 40!

Huyu nilokula ni elf 40.

NIMEWAMBIA NAKUJA NIKO CHOONI NALIA
Pole sana. Mimi nina utaratibu wa kuuliza bei kabla ya kuagiza chakula, ili kujipesha na aibu ndogo ndogo kama hizi
 
Rudi mezani agiza na bia mbili, fungua mimina nusu glass piga fundo moja, kisha pokea simu feki, sogea pembeni ongea kwa muda wakati ukitazama umakini wa wahudumu kama wanakutilia mashaka, akili nyingine toa kwenye ubongo wako...
wakinikamata hapo wataniua
 
Back
Top Bottom