Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Nimekuja bar nimeagiza supu nimezoea zangu mwanza supu elf 5 had elf6.
Bili inakuja kumbe supu ya samaki huku huwa n elf 30 had 40!
Huyu nilokula ni elf 40.
NIMEWAMBIA NAKUJA NIKO CHOONI NALIA😭😢
Migebuka??Nimekuja bar nimeagiza supu nimezoea zangu mwanza supu elf 5 had elf6.
Bili inakuja kumbe supu ya samaki huku huwa n elf 30 had 40!
Huyu nilokula ni elf 40.
NIMEWAMBIA NAKUJA NIKO CHOONI NALIA😭😢
Nimekuja bar nimeagiza supu nimezoea zangu mwanza supu elf 5 had elf6.
Bili inakuja kumbe supu ya samaki huku huwa n elf 30 had 40!
Huyu nilokula ni elf 40.
NIMEWAMBIA NAKUJA NIKO CHOONI NALIA😭Kuna kitu kinaitwa mgodi huko unakopa
bora uoshe vyombo shida wanaeza nipeleka polisi hawa jamaaJiandae kufungiwa store ukiosha vyombo
misamaki ya ajabu ajabu tuMigebuka??
Anaukubwa wap sasa wa kawaida sanaDunia ina vituko sana.Huyo samaki ni adimu sana,anajaa kwenye ndoo ya lita ishirini au Kigoma wana franga nyingi sana?Wewe endelea kulia tu mkuu hadi nduguzo wafike na "tereni" kutoka Ng'wanza wakuokoe.
na hapa sijashibaDunia ina vituko sana.Huyo samaki ni adimu sana,anajaa kwenye ndoo ya lita ishirini au Kigoma wana franga nyingi sana?Wewe endelea kulia tu mkuu hadi nduguzo wafike na "tereni" kutoka Ng'wanza wakuokoe.
Au jitoe ufahamu utoke mbio tu mkuu.misamaki ya ajabu ajabu tu
Huwezi kushiba ukiwa na mawazo ya deni.na hapa sijashiba
Na ukikimbia bila kulipa huko Kigoma ndio unatafuta kubeba ujauzito kiuchawiNimekuja bar nimeagiza supu nimezoea zangu mwanza supu elf 5 had elf6.
Bili inakuja kumbe supu ya samaki huku huwa n elf 30 had 40!
Huyu nilokula ni elf 40.
NIMEWAMBIA NAKUJA NIKO CHOONI NALIA😭😢
Ameeleza hajai hata kwenye kigoda aisee!Huyo samaki amejaa meza yote?
uwiii😂😂unatokaje palivo hapa mtu anaeingia na kutoka anaonekanaNa ukikimbia bila kulipa huko Kigoma ndio unatafuta kubeba ujauzito kiuchawi
ndioAmeeleza hajai hata kwenye kigoda aisee!