Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapigwa uchakae mkuuAlichoniambia ndo biashara zinazofanywa na matajiri wakubwa ila hawataki kutoa siri.
HahahaAlichoniambia ndo biashara zinazofanywa na matajiri wakubwa ila hawataki kutoa siri.
Ni biashara za kijanja na utapeli wanaofadikia ni wao maana wanakuibiaAsante kwa ushauri mkuu. Ndo uzuri wa jf, watu wanafungukaga.
Wamehamia mikoan mkuu ...wanawapiga washamba wa mkoa balaa..dar washashtukiwa..wameenda tapel wakulima..Q net wanadhamb sanaHizi biashara zishajadiliwa sana humu. Search qnet, D9, Forever Living, network marketing utaona nyuzi kibao
Wamehamia mikoan sasa.wameona dar wameshtukiwa..so wanaenda kuwapiga waluga luga huko ..kuna kajamaa karafik kangu kenyew ndo ka master ka qnet..sasa hiv kako mwanza.kanawatandika balaa hukoMkuu Supermind waombe hao mabilionea waliokuahidi ubilionea wakukopeshe hiyo 5.5M wewe utawalipa na riba ya 50% ukishakua bilionea
Usithubutu kutumia pesa yako, utajuta!!
Nakaza hapaKwa ushauri wangu bro, kama unayo hiyo hela fanya biashara unayoiweza kuliko kuchangia watu mitaji. Mke wangu pia alikua na rafiki yake alitusumbua sana tujiunge nikampiga na marufuku simu zake wala home asifike.
ShenziWanakutisha tu na kukukatisha tamaa ili usiwe millionea.
Hapo mdogo wangu hesabu tu siku, hizo biashara zinalipa sana. Shida kwa wengi ni mtaji tu wa hiyo mil 5.
Kajiunge haraka sana, mimi ningekuwa hata na mil 2 tu ningewafata niwabembeleze nijiunge