Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbakaji, Muuaji na wewe hamna tofauti mbele za MunguWanakutisha tu na kukukatisha tamaa ili usiwe millionea.
Hapo mdogo wangu hesabu tu siku, hizo biashara zinalipa sana. Shida kwa wengi ni mtaji tu wa hiyo mil 5.
Kajiunge haraka sana, mimi ningekuwa hata na mil 2 tu ningewafata niwabembeleze nijiunge
Wajinga wanazaliwa kila siku...DECi anapiga watu halafu anabadilisha jina anajiita Qnet...mr Kuku akitoka atajiita Mrs. VifarangaHivi kumbe Qnet, D9, na Alliance bado zipo 2020, nikajua zimekufa, hakika wajinga hawataisha Tanzania ngoja Mr kuku atoke gerezani aje kukusanya billion zingine.
Hio njia niliitumia kwa mtu aliyekuwa ananishawishi nikamueleza kwa Sasa Sina pesa ila Kama unayo naomba unilipie nikiipata nitakupatia. Alipunguza kasi ya kunitafuta mpaka Sasa anitafutagi kuniambia hayo Mambo.Ni rahisi tu. Kwa kuwa wao tayari wapo hapo sikunyingi. Waambie wakukopeshe, then uwekeze ikuzaa unawalipa.
Hahaahah umeamua kummaliza kabisa kijana wa watu.Wanakutisha tu na kukukatisha tamaa ili usiwe millionea.
Hapo mdogo wangu hesabu tu siku, hizo biashara zinalipa sana. Shida kwa wengi ni mtaji tu wa hiyo mil 5.
Kajiunge haraka sana, mimi ningekuwa hata na mil 2 tu ningewafata niwabembeleze nijiunge
hahah😁😂😝🤩Ajabu ni kwamba hadi kuna watu wanaingia hii mikenge.
Hiyo ni ponzi . Ni deci nyingine tu.
Formula ni ile ile. Mtafute mjinga mmoja ili akusaidie kutafuta wajinga wengine
Hata siku moja hawakubali, wamenitafuta zaidi ya mwaka na nusu , Mara kopa tu hela utazipata ndani ya miezi 3. Na wanatumia mbinu nyingi sana sana wanawake kama chambo!Mkuu Supermind waombe hao mabilionea waliokuahidi ubilionea wakukopeshe hiyo 5.5M wewe utawalipa na riba ya 50% ukishakua bilionea
Usithubutu kutumia pesa yako, utajuta!!
Sharti kama la mganga!Alisema bidhaa zao huruhusiwi kuuza. Ukinunua utumie wewe mwenyewe, ndio sharti la kampuni.
Keshazikwapua zoteAnaeenda kuwa billionea ni DPP!
DPP ameshazikwapua zote?Keshazikwapua zote
Gazeti la Mwananchi linaandika kuwa “DPP katahadharisha ni kosa kisheria kuwarudishia pesa wale wote.DPP ameshazikwapua zote?
hahahahahhaaAnaeenda kuwa billionea ni DPP!
[emoji2307][emoji2307][emoji2307]Alichoniambia ndo biashara zinazofanywa na matajiri wakubwa ila hawataki kutoa siri.