Nimeahidiwa Q-Net kuwa bilionea baada ya miaka mitano

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bilioneaaaa
 
Ni rahisi tu. Kwa kuwa wao tayari wapo hapo sikunyingi. Waambie wakukopeshe, then uwekeze ikuzaa unawalipa.
 
Mbakaji, Muuaji na wewe hamna tofauti mbele za Mungu
 
Ni rahisi tu. Kwa kuwa wao tayari wapo hapo sikunyingi. Waambie wakukopeshe, then uwekeze ikuzaa unawalipa.
Hio njia niliitumia kwa mtu aliyekuwa ananishawishi nikamueleza kwa Sasa Sina pesa ila Kama unayo naomba unilipie nikiipata nitakupatia. Alipunguza kasi ya kunitafuta mpaka Sasa anitafutagi kuniambia hayo Mambo.
 
Hahaahah umeamua kummaliza kabisa kijana wa watu.
 
Yeye ameshakua bilionea? Kama maisha yake hata wewe huyaelewi then dont dare.
 
Mkuu Supermind waombe hao mabilionea waliokuahidi ubilionea wakukopeshe hiyo 5.5M wewe utawalipa na riba ya 50% ukishakua bilionea
Usithubutu kutumia pesa yako, utajuta!!
Hata siku moja hawakubali, wamenitafuta zaidi ya mwaka na nusu , Mara kopa tu hela utazipata ndani ya miezi 3. Na wanatumia mbinu nyingi sana sana wanawake kama chambo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…