Nimeambiwa na madaktari sina uwezo wa kuzaa (mbegu hazina nguvu)

Nimeambiwa na madaktari sina uwezo wa kuzaa (mbegu hazina nguvu)

Ndugu yangu, umeuliza tu ufanyaje lakini hujasema unachohitaji - unahitaji kupona tatizo au unahitaji kupata mtoto ndio unauliza ufanyaje?

Kama ni kweli madaktari wamethibitisha unatoa mbegu chache na zisizo na ute, na kwamba ni kwa sababu 'production site' is dead...nadhani kupona hilo tatizo itakuwa ngumu, au utafute msaada nje ya nchi.

Lakini kama unahitaji tu watoto...nadhani In-Vitro Fertilization (IVF) inaweza kukusaidia. IVF inahitaji tu uwe na uwezo wa kuzalisha mbegu zikakomaa, basi hizo zitavunwa na kurutubisha yai toka kwa mkeo, kisha linandwa kwenye kizazi na mimba inatunga na kukua kama kawaida, na mkeo anajifungua. Mnaweza zaa watoto kadhaa tu kwa njia hii, na wala haikuhitaji uende nje, kwani hii procedure inafanyika hapa Bongo.

Dokta wa ukweli nielekeze huduma hiyo hupatikana wapi nami naihitaji.Ahsante kwa maelezo yanayojitosheleza.
 
muandae mkeo vizuri,utelezi wake wa ukeni unaweza saidia mbegu kufika kunako mfuko wa uzazi,mhakuna kianchoshindikana,watu wanapiga mimba hadi nnje ya mfuko wa uzazi mkuu
 
Mkuu pole sana kwa hilo tatizo zaid muombe Mungu kwa imani na fanyia kazi ushauri unaopewa,swali langu kwa wana jamvi je kuna uwezekano wa mwanaume kwenda hospital kuchek kama mbegu unazozalisha zina uwezo wa kutungisha mimba?

Ndio inawezekana inaitwa 'sperm analysis' wanacheki wingi wa sperm na nguvu ya mbegu kukimbia
 
Kuna matatizo yanatibika kwa mitishamba tu. Naamini wapo humu wazee wa mitishamba
 
Mimi ni kijana niliyeoa, niko kwenye ndoa sasa kwa miaka tisa (9) sijapata mtoto; vipimo vinaonyesha mke wangu hana tatizo lolote kwenye uzazi-ila tatizo ninalo mimi; nimeambiwa mbegu zinazozalishwa kwangu ni chache, pili hazina uteute utaozifanya ziteleze na kuweza kulifikia yai. Madaktari wanasema hakuna dawa ya kurekebisha hiyo kwani "production site ya viscosity is deady" Ila chakushangaza nina uwezo mkubwa wa kufanya tendo la ndoa hata mara tano kwa siku na zinatoka vizuri; na zilipimwa ni nzima kabisa tatizo ndio hilo "Uchache na no viscosity" Naombeni ushauri nifanyeje????????

Sikupi pole kwa sababu najua unaweza kuzaa, hayo ni maneno yanayotumiwa na shetani kukudiscourage. Nimekuinbox maombi kwa siku 40, baada ya hapo kama imani yako iko safi. Nenda kapime,ninajua utashuhudia hapa hapa jamvini.
 
Ndugu km mfuko Wako unaruhusu jaribu vipimo dar ivf gharama zipo juu ni km ifuatavyo kumuona dr dola 200,ukigundulika Una tatizo kufanya ivf inagharimu dola 7500,waweza wasiliana na huyu dr yupo pale 0716 206655
 
Ndugu yangu, umeuliza tu ufanyaje lakini hujasema unachohitaji - unahitaji kupona tatizo au unahitaji kupata mtoto ndio unauliza ufanyaje?

Kama ni kweli madaktari wamethibitisha unatoa mbegu chache na zisizo na ute, na kwamba ni kwa sababu 'production site' is dead...nadhani kupona hilo tatizo itakuwa ngumu, au utafute msaada nje ya nchi.

Lakini kama unahitaji tu watoto...nadhani In-Vitro Fertilization (IVF) inaweza kukusaidia. IVF inahitaji tu uwe na uwezo wa kuzalisha mbegu zikakomaa, basi hizo zitavunwa na kurutubisha yai toka kwa mkeo, kisha linandwa kwenye kizazi na mimba inatunga na kukua kama kawaida, na mkeo anajifungua. Mnaweza zaa watoto kadhaa tu kwa njia hii, na wala haikuhitaji uende nje, kwani hii procedure inafanyika hapa Bongo.

Dr mzima lkn??
nimependa ushauri wangu sina cha kuongeza
 
Jamani, kuna hivi virutubisho vya FOREVER LIVING, wanacho kirutubisho kinaitwa MULTMACA wengi kimewasaidia sana kwenye tatizo Kama hilo. Jaribu kaka. Hakina madhara kwani vinatokana na mimea. Huna cha kupoteza ukijaribu
 
Jamani, kuna hivi virutubisho vya FOREVER LIVING, wanacho kirutubisho kinaitwa MULTMACA wengi kimewasaidia sana kwenye tatizo Kama hilo. Jaribu kaka. Hakina madhara kwani vinatokana na mimea. Huna cha kupoteza ukijaribu

Kazi yake nini? Kuna site mbalimbali, sperm productiôn area, maturation, transport, mucous production etc. Hiyo yako inafanya kazi wapi? Anyway ukiwa na shida na unataka suluhu hata mavi utalishwa!
 
Mimi ni kijana niliyeoa, niko kwenye ndoa sasa kwa miaka tisa (9) sijapata mtoto; vipimo vinaonyesha mke wangu hana tatizo lolote kwenye uzazi-ila tatizo ninalo mimi; nimeambiwa mbegu zinazozalishwa kwangu ni chache, pili hazina uteute utaozifanya ziteleze na kuweza kulifikia yai. Madaktari wanasema hakuna dawa ya kurekebisha hiyo kwani "production site ya viscosity is deady" Ila chakushangaza nina uwezo mkubwa wa kufanya tendo la ndoa hata mara tano kwa siku na zinatoka vizuri; na zilipimwa ni nzima kabisa tatizo ndio hilo "Uchache na no viscosity" Naombeni ushauri nifanyeje????????

ipo miti shamba ndg nitafute
 
Back
Top Bottom