Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
- Thread starter
- #221
Acha roho mbayaUnene haujawahi kumpendeza binadamu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha roho mbayaUnene haujawahi kumpendeza binadamu!!
Acha anidharau potelea pote mi namtaka yeyeMkuu, huoni kama ameshakudharau kiasi kwamba ameanza kukosoa hata jinsi Mungu alivyokuumba? Hilo ni tusi brother kwasababu kama hapendi wembmba hakua na haja ya kukuambia unenepe. Angekukatalia tu. Unadhani mtaa mzima wewe pekee ndiye mwembamba uliyemtongoza na anataka kukubalia?
Mimi ndo yashanikuta. Nimedata kwa mtoto wa mtu na hakuna kitu mtaniambiaDuniani kuna vituko sana[emoji23][emoji23]
Wewe unamsemea sasaAnakuletea madrama tu.
Anamaanisha pochi nene mzee baba, sasa we jitoe ufahamu.
Jee papuchi ameshakupa? Maana hilo sharti la kunenepa ni kwa ajili ya kuoa.Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.
Back to the topic
Ulifanikiwa kunenepa? Kama bado tumia protein powder, watu wa gym wanaelewa. Utajaa ndani ya weekKaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.
Back to the topic. Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo
Umeanza lini unyanyasaji wa kijinsia na maumbile?Nenepa mwaya ila usiwe kibonge, mwanaume hapendezi kuwa mwembamba wala kibonge.
Shikamoo jirani.Umeanza lini unyanyasaji wa kijinsia na maumbile?
Naunga mkonoAcha Ujinga na Usiendeshwe na Mapenzi
Shikamoo jirani.
Muache roho mbaya mnenepe.Sitaki. Unatunyanyapaa sie Chikondee.
Muache roho mbaya mnenepe.
Mjitahidi.Hilo nalo neno...kuwa na roho nzuri kipaji ujue. Usichukulie mchezomchezo
Kila siku kula vijiko vitatu vya hamira ndani ya mwezi utakua kma sele bongeKaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.
Back to the topic. Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lakini vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.
Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi
Nawasilisha
UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.
Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee.
Utakuja juta baki namwili wako aisee mie najuta naambiwa na mtoto na sina .Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.
Back to the topic. Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lakini vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.
Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi
Nawasilisha
UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.
Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee.
Mwembamba anaousema ni kwenye mwili wa kawaida au kwenye dusheleleKaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.
Back to the topic. Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lakini vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.
Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi
Nawasilisha
UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.
Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee.