Nimeambukizwa virusi vya UKIMWI (H.I.V)

kama ulikuwa na ratiba ya kuloweka leo, ukisoma uzi lazima ughairi
Ngwengwe noma
nimeanza juzi tu leo ni kidonge changu cha nane, nameza tu kawaida ila ni kinene kupita kohoni ila hakikwami.
 
Ivi ata docta Sebi wa amerika ni kweli aligundua dawa na kuwatibu watu au zilikuwa ni propaganda tu za mtu mweusi
 
Kama ni kweli basi pole sana mkuu, i can't imagine muda mtu anajipima akute positive [emoji2962]
Kaka hii dholuba imenikumba sometimes nawaza ata niwe time traveller niende mbele ya muda maybe nitakuta tayar dawa imegundulika wanitibu ama nirudi nyuma ya muda nimeze PEP ama nisifanye ngono na ex yule kabisa
 
Kaka hii dholuba imenikumba sometimes nawaza ata niwe time traveller niende mbele ya muda maybe nitakuta tayar dawa imegundulika wanitibu ama nirudi nyuma ya muda nimeze PEP ama nisifanye ngono na ex yule kabisa
Dah, pole sana mwana... ila hapo zingatia dawa, msosi na tizi mengine muachie Mungu.... ila before kumdirect ex moja kwa moja unapaswa kwanza kujua kama na yeye yupo positive
 
POLE SANA MKUU.

Mungu atakuponya. Jaribu dawa ya Dokta msigwa.

Ukitumia usipo pona Nitakurudishia laki mbili yako.

Uwe na Imani.
Usitende dhambi Tena
 
TUBU DHAMBI ZAKO ZOTE UWE MTU MPYA

Epuka mawazo na presure chukulia HIV ni ishu ndogo na ya kawaida huku ukitumia dawa zako bila hofu

Lakini ubadili mtindo wa maisha kidogo.

1. Epuka ngono pombe sigara na starehe..

2.kula vizuri, Dona mboga za majani samaki na matunda kwa wingi sana.

3 Fanya mazoezi na Ibada mala kwa mala mkumbuke muumba wako

4. Pata usingizi wa kutosha na mapumziko

5. Anza kufuatilia Matibabu ya Uhakika kwa watu unao waamini. Nk
 
Lipia TANGAZO
 
Kwani boss msigwa ameukwaa🙂😳
 
Umeambukizwa UKIMWI juzi tu unapata nguvu ya kuandika humu, ebu acha kutuchezea akili bhan sisi siyo watoto wadogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…