Nimeambukizwa virusi vya UKIMWI (H.I.V)

Nimeambukizwa virusi vya UKIMWI (H.I.V)

Habari wanaJF, mim ni kijana niliyekuwa ninajichunga na kuijari sana afya yangu kiasi cha kuwa na mabox ya vipimo vya H.I.V rapid test ghetto, ikiwa kama nimejichanganya bas nawahi dawa za PrEP,

Dawa za PrEP nimemeza round mbili yaani 2017, 2020 baada ya kucheza rough.

nilikuwa napima maambukizi na mwenza wangu mara kwa mara, Ivi sasa mwenza wangu anamalizia masomo ili mwakani July tuanze kuishi pamoja. sasa mwez Agosti mwaka huu nimekutana na mwanamke ambae tunameet na kusekx na uwa tunacheki afya sasa mwez huo nikapuuza kwakuwa tulicheki afya mwez May nikamla then maisha yakaendelea,

Mwez Octoba juzi tu nikajaribu kupima peke yangu ghetto nikakutana na mistari miwili CONTROL na 1, nilipima zaid ya mara tano apo apo gheto inasoma mistari miwili. Dah pressure ikawa kubwa.

Nikaenda Hospital napo inaonesha nipo POSITIVE, wakanianzishia dawa za ARV's adi sasa ninamaliza wiki tangu nianze dozi za ARV's. next wiki wananianzishia na dozi ya miezi sita ya Anti-T.B...

Juzi nipo YouTube nakuta kuna shuhuda nyingi sana kwamba kuna Mtaalamu anaponesha ili janga from POSITIVE to NEGATIVE anaitwa TR. MSIGWA, jaman waungwana kuna yeyote mwenye hakika na ili jambo ata ndugu yake alipata kupona kwa uyu docta maana kichwa kinawaka saiz sielewi, nikapata mawasiliano yake akaniambia dozi ni shilling 280k ya siku 45 inaitwa (4A9).

Wajameni ivi ili suala linaukweli dawa iyo ya Asili inasaidia kwa yeyote aliyawahi pata experience hii ata kwa ndugu yake kuhusu uyu mtaalamu TR. MSIGWA na dawa yake ya 4A9 maana ninawiki tu tangu nianze kumeza ARV's lakin naihis hali ya kuzichoka tayar. .

nawasilisha:
Tulia kijana! Acha papala ya kuhangaika huku na kule, utategeneza janga lingine ambalo litakuwahisha kwa sir god chapu. Take easy mbona kawaida tu
 
Habari wanaJF, mim ni kijana niliyekuwa ninajichunga na kuijari sana afya yangu kiasi cha kuwa na mabox ya vipimo vya H.I.V rapid test ghetto, ikiwa kama nimejichanganya bas nawahi dawa za PrEP,

Dawa za PrEP nimemeza round mbili yaani 2017, 2020 baada ya kucheza rough.

nilikuwa napima maambukizi na mwenza wangu mara kwa mara, Ivi sasa mwenza wangu anamalizia masomo ili mwakani July tuanze kuishi pamoja. sasa mwez Agosti mwaka huu nimekutana na mwanamke ambae tunameet na kusekx na uwa tunacheki afya sasa mwez huo nikapuuza kwakuwa tulicheki afya mwez May nikamla then maisha yakaendelea,

Mwez Octoba juzi tu nikajaribu kupima peke yangu ghetto nikakutana na mistari miwili CONTROL na 1, nilipima zaid ya mara tano apo apo gheto inasoma mistari miwili. Dah pressure ikawa kubwa.

Nikaenda Hospital napo inaonesha nipo POSITIVE, wakanianzishia dawa za ARV's adi sasa ninamaliza wiki tangu nianze dozi za ARV's. next wiki wananianzishia na dozi ya miezi sita ya Anti-T.B...

Juzi nipo YouTube nakuta kuna shuhuda nyingi sana kwamba kuna Mtaalamu anaponesha ili janga from POSITIVE to NEGATIVE anaitwa TR. MSIGWA, jaman waungwana kuna yeyote mwenye hakika na ili jambo ata ndugu yake alipata kupona kwa uyu docta maana kichwa kinawaka saiz sielewi, nikapata mawasiliano yake akaniambia dozi ni shilling 280k ya siku 45 inaitwa (4A9).

Wajameni ivi ili suala linaukweli dawa iyo ya Asili inasaidia kwa yeyote aliyawahi pata experience hii ata kwa ndugu yake kuhusu uyu mtaalamu TR. MSIGWA na dawa yake ya 4A9 maana ninawiki tu tangu nianze kumeza ARV's lakin naihis hali ya kuzichoka tayar. .

nawasilisha:
Tulia kijana! Acha papala ya kuhangaika huku na kule, utategeneza janga lingine ambalo litakuwahisha kwa sir god chapu. Take easy mbona kawaida tu!
 
Kwa zaidi ya miaka 6 unaishi na HIV na hujafa ila sahivi unakitafuta kifo kwa kwenda kudanganywa na mtu atakaekutapeli kwa kukuuzia supu ya matembele kwa 200k akwambie ni dawa
 
Lipia tangazo, inaonekana siku nyingi toka 2018 ni mwanachama wa ARVs, umekuja kumtangazia huyo mwamba hizo dawa...

View attachment 2802365
Kaka hii niliiandika baada ya kutumia dawa za PrEP mnamo mwaka 2017 na nikasalimika baada ya kucheza rough. baadae nikaja kugundua kuwa alikuwa anameza dawa tangu utotoni tangu apo ndio nikanunua box la vipimo vikawa ghetto.

mwenye ushuhuda na iyo tiba jaman maana nafuatilia YouTube naona wengi wanapona so ninawasiwasi na 280k yangu maana pesa yenyewe ya kuunga unga. Pliz mwenye experience ya hii kitu
 
Kwa zaidi ya miaka 6 unaishi na HIV na hujafa ila sahivi unakitafuta kifo kwa kwenda kudanganywa na mtu atakaekutapeli kwa kukuuzia supu ya matembele kwa 200k akwambie ni dawa
Kaka huu ugonjwa nimeupata mwaka huu mwez wa saba, nimegundua mwez wa kumi baada ya kujipima, nimeanza ARV's wiki moja nyuma. Kwanin mnabeza
 
Mbona kama Tangazo!
Hakuna tangazo ila ninawasiwasi na pesa yangu maana mzungu alishasema hakuna dawa itakayokurudisha kuwa Negative tena. nipo mkoani nawaza kuagiza maana matapeli ni wengi. Ninahamu na kuicheza hii kamali lakin ninamashaka.
 
Mkuu kwani unaumw? Au shida yako kipimo kisome negative?
siumwi mkuu, Nahitaji niwe negative, tatizo uyu msigwa anaitaja dawa tu but haelezi jins dawa yake inavyofanya kazi mwilini juu ya izo seli apo ndio ninapokuwa nahofu na 280 yangu, ni wiki moja sasa na nimepungua uzito wa kilo 6 kwa msongo wa mawazo but najizuia kwa kujifariji
 
Mungu anakupenda sana, siku zote anatafuta watoto wake walio tayari kuyaishi mapenzi yake.
Unaweza kuzunguka kutafuta matibabu usipate
Lakini Mtazame Yesu kristo amefanya kazi kubwa isio elekeza pale Msalabani. Ishi ndani yake nawe utaishi ndani yake. Anachohitaji ni kushika Amri zake,Sheria zake na Hukumu zake.
Tafuta mbingu Acha Dhambi.
Usitafute uponyaji kwenye kanisa Mtafuta Yesu Kristo
 
Mungu anakupenda sana, siku zote anatafuta watoto wake walio tayari kuyaishi mapenzi yake.
Unaweza kuzunguka kutafuta matibabu usipate
Lakini Mtazame Yesu kristo amefanya kazi kubwa isio elekeza pale Msalabani. Ishi ndani yake nawe utaishi ndani yake. Anachohitaji ni kushika Amri zake,Sheria zake na Hukumu zake.
Tafuta mbingu Acha Dhambi.
Usitafute uponyaji kwenye kanisa Mtafuta Yesu Kristo
Nyie walokole mna tabu sana,

Huu ushauri wako ndio utamponya muhusika? Haya nenda kwenye Mahospitali ukawaombee wagonjwa wote ili wapone na warudi majumbani mwao.
 
Juzi nipo YouTube nakuta kuna shuhuda nyingi sana kwamba kuna Mtaalamu anaponesha ili janga from POSITIVE to NEGATIVE anaitwa TR. MSIGWA, jaman waungwana kuna yeyote mwenye hakika na ili jambo ata ndugu yake alipata kupona kwa uyu docta maana kichwa kinawaka saiz sielewi, nikapata mawasiliano yake akaniambia dozi ni shilling 280k ya siku 45 inaitwa (4A9).
Najua baadae utakuja na ushuhuda na namba ya simu ya TR. MSIGWA.

Waliosoma Cuba wamenielewa!
 
Najua baadae utakuja na ushuhuda na namba ya simu ya TR. MSIGWA.

Waliosoma Cuba wamenielewa!
Msigwa anajitangaza yey mwenyewe, mim nimekuja kuhakiki kama kuna yeyote mwenye experience kabla sijaifuata dawa nikapoteza pesa maana matapeli ni wengi. Namba zake ninazo na sina haja ya kuziweka humu. Kabla ya kutoa pesa nilitaka kupata wazo humu I'm depressed.

nipo njia panda sipromot dawa nahitaji kujua ufanis wa dawa kama unasaidia
 
Kuna mmoja alitoa ushuhuda mahali. akisema alipata hizo herbs kwa mganga/mtaalam fulani ambaye hakumtaja jina. alisema baada ya kutumia izo herbs vipimo vilionesha hana tena hiv. ila baada ya muda fulani kupita alipima tena na kukuta bado alikuwa ve+.

kwaiyo angalia kuna matapeli wapo kimkakati kutafuna kidogo ulichonacho kwa mgongo wa kukutibu. kwa ushauri ungekubali tu maji yameshamwagika endelea na dozi na kufuata masharti unayopewa utakuwa sawa tu. maisha mengine yaendelee.
 
Back
Top Bottom