Nimeamini Arusha ni ngome ya CHADEMA. CCM tuachane nayo!

Nimeamini Arusha ni ngome ya CHADEMA. CCM tuachane nayo!

Hata msipoipigia kura CCM, mkae mkijua kuwa CCM ndio inaenda kuunda serikali 2025 🐒
Nyie ni wezi, Hilo linajulikana wazi.

Dawa yenu inachemka tumbili nyie...maana naona siku hizi wengi wenu kila mkiweka bandiko mnamalizia na code ya tumbili.
 
Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.

Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.

Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
CCM ipo Dodoma TU maeneo mengine inalazimisha
 
Ngome ni kule ambako wananchi wengi wana uelewa mkubwa na hawaogopi kuonesha wamechoshwa na mambo ya ovyo serikalini.
Wananchi wanoa andamanishwa na kuambiwa sababu za kuandamana wanakuwaje ngome? Wananchi ilipaswa waandamane wenyewe hapo ungesema wanauelewa.

Tatizo lenu nyie hamna agenda zinazowagusa wananchi moja kwa moja, agenda yenu kuu ni tume huru za uchaguzi na katiba mpya vitu ambavyo wananchi wengi wa kawaida hawavielewi. Hizi agenda za sukari na mchele kuwa juu mmezidakia tu juu kwa juu leo vikishuka bei mnakosa agenda na waandamanaji.

Kosa kubwa mlilolifanya maishani mwenu ni kutokufanya kazi na JPM, kumtukana na kumkejeli pale alipokuwa akifanya mambo ya kuwagusa wananchi. Walau hata mngekaa kimya kuliko kumtukana, leo hii naamini mngekusanya wafuasi wengi sana kutoka ccm maana wangekuwa wanawaamini. Lakini kwa zile tabia zenu tulizoziona enzi za JPM ni bora ccm wakaendelea kutawala. Hatuwezi kuwa na chama cha siasa ambacho viongozi wake ni kupinga maendeleo tu na kutaka tufungiwe ndani kisa corona. Kiongozi bora bora ni yule aliyetayari kufa kwa ajili anaye watawala.
 
Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.

Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.

Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Arusha hawako tayari kurudi nyuma,hatajasahau fujo za Lema slipikuwa Mbunge.Arusha si mahali pa majaribio
 
Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.

Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.

Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Labda Arusha Mjini.Lakini hicho chama kitashikaje Dola Kwa kuwa na ngome kwenye vimiji vichache wakati over 65% ya watu wanaishi Vijijini?
 
Labda Arusha Mjini.Lakini hicho chama kitashikaje Dola Kwa kuwa na ngome kwenye vimiji vichache wakati over 65% ya watu wanaishi Vijijini?
Naomba utusaidie ufahamu kidogo ndugu Muandikaji;
Kwa nini maeneo waliyojaa watu wasio elimu ya kujua hata maisha yao, masikini na mbumbumbu ndio kuna uungaji mkono wa CCM wakati kule kwenye uelewa mkubwa na elimu, kipato kinatafutwa kutumia fursa zilizopo nk ndiko CCM haikubaliki kabisa bali vyama mbadala hasa hasa Chadema?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Naomba utusaidie ufahamu kidogo ndugu Muandikaji;
Kwa nini maeneo waliyojaa watu wasio elimu ya kujua hata maisha yao, masikini na mbumbumbu ndio kuna uungaji mkono wa CCM wakati kule kwenye uelewa mkubwa na elimu, kipato kinatafutwa kutumia fursa zilizopo nk ndiko CCM haikubaliki kabisa bali vyama mbadala hasa hasa Chadema?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mkoa wa Njombe una umaskini upi? Dodoma Ina umaskini upi? Huko Arusha kumejaa maskini na wavuta bangi wasio jielewa wamepata kipi chini ya Chadema Kwa miaka 20 plus? Wapumbavu
 
Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.

Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.

Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
We hizo bangi utaacha lini. Huyo mvuta bangi mwenzako mwambie agombee kwao uchagani
 
Kitu pekee kitakachofanya jimbo la Arusha mjini liende CHADEMA ni pale CCM itakapoweka mgombea dhaifu hivyo kuleta hujuma miongoni mwa wanaCCM wasio waaminifu. Arusha mjini sio ngome ya CHADEMA. Angalau ungesema Karatu kwasababu wao tangu 1995 walichagua upinzani tu wakati Arusha mjini upinzani ulianza 2010
 
Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.

Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.

Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Hilo halina ubishi
 
Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.

Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.

Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Yaani kama unapendwa siku zotw mambo yanajipa tu hakuna kutumia nguvu.
 
Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.

Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.

Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Picha kidgo hata Sisi tulioko huku mtari wa mbele wa mapigano karibu na Avdiivika tujue!
 
Back
Top Bottom