Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
umepanic ee 🐒Wewe jini wa CCM nikuulize Lowasa alikuwa CCM au CHADEMA?
ACHA UMALAYA WA KISIASA
uchungu nae mlitoa wap kwenye mazishi 🐒
Relax bas mihemko sio deal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umepanic ee 🐒Wewe jini wa CCM nikuulize Lowasa alikuwa CCM au CHADEMA?
ACHA UMALAYA WA KISIASA
Nyie ni wezi, Hilo linajulikana wazi.Hata msipoipigia kura CCM, mkae mkijua kuwa CCM ndio inaenda kuunda serikali 2025 🐒
Unateseka ukiwa wapi ?Kauli Nyepesi na huwa inawacost
Mungu hadhihakiwi
Wananchi wakichoka hawahitaji mwanasiasa kuwaandamanisha.Kuchoka kwa wananchi ndo visababishi vya ngom3
CCM ipo Dodoma TU maeneo mengine inalazimishaMatukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.
Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.
Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Wananchi wanoa andamanishwa na kuambiwa sababu za kuandamana wanakuwaje ngome? Wananchi ilipaswa waandamane wenyewe hapo ungesema wanauelewa.Ngome ni kule ambako wananchi wengi wana uelewa mkubwa na hawaogopi kuonesha wamechoshwa na mambo ya ovyo serikalini.
Arusha hawako tayari kurudi nyuma,hatajasahau fujo za Lema slipikuwa Mbunge.Arusha si mahali pa majaribioMatukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.
Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.
Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Labda Arusha Mjini.Lakini hicho chama kitashikaje Dola Kwa kuwa na ngome kwenye vimiji vichache wakati over 65% ya watu wanaishi Vijijini?Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.
Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.
Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Naomba utusaidie ufahamu kidogo ndugu Muandikaji;Labda Arusha Mjini.Lakini hicho chama kitashikaje Dola Kwa kuwa na ngome kwenye vimiji vichache wakati over 65% ya watu wanaishi Vijijini?
Mkoa wa Njombe una umaskini upi? Dodoma Ina umaskini upi? Huko Arusha kumejaa maskini na wavuta bangi wasio jielewa wamepata kipi chini ya Chadema Kwa miaka 20 plus? WapumbavuNaomba utusaidie ufahamu kidogo ndugu Muandikaji;
Kwa nini maeneo waliyojaa watu wasio elimu ya kujua hata maisha yao, masikini na mbumbumbu ndio kuna uungaji mkono wa CCM wakati kule kwenye uelewa mkubwa na elimu, kipato kinatafutwa kutumia fursa zilizopo nk ndiko CCM haikubaliki kabisa bali vyama mbadala hasa hasa Chadema?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
We hizo bangi utaacha lini. Huyo mvuta bangi mwenzako mwambie agombee kwao uchaganiMatukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.
Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.
Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Acha kumhusisha Mungu na genge la wala ruzukuCHADEMA ni mpango wa Mungu.
Hilo halina ubishiMatukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.
Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.
Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Mtwara ni waoga snMtwara Kucheere
Yaani kama unapendwa siku zotw mambo yanajipa tu hakuna kutumia nguvu.Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.
Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.
Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Picha kidgo hata Sisi tulioko huku mtari wa mbele wa mapigano karibu na Avdiivika tujue!Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.
Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.
Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Hata mimi nakuunga mkono maana ule moshi na kisha ajali magari 18 majuzi hapa ni matokeo ya hofu zaoMtwara ni waoga sn
Una bisha?Kauli Nyepesi na huwa inawacost
Mungu hadhihakiwi
Unaumia ukiwa wapi Ndugu?Chadema mnajua kujifariji na kujitia moyo!