Nimeamini Arusha ni ngome ya CHADEMA. CCM tuachane nayo!

Nimeamini Arusha ni ngome ya CHADEMA. CCM tuachane nayo!

Hivi unaelewa maana ya ngome? Au wananchi wamechoshwa na baadhi ya mambo ya serikali?
Nielezee mimi maana ya ngome na pia mambo gani ambayo ni baadhi ,wananchi wamechoshwa nayo, nielezee nini mafanikio ya serikali ya ccm kwa miaka zaidi ya 60 iliyotawala nchi yangu, elimu shida na quality yake imeporomoka mno (royal families watoto wao chuo wapo Canada,UK, US, wits University etc etc na sio UDOM),umeme shida, sukari hakuna, barabara mbovu, nipe fanikio lolote lile la ccm
 
Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.

Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.

Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.

Hata mkijumuika kaskazini yote muwe chadema haisaidii kitu, sisi wana kanda ya ziwa, magharibi, kati, kusini na pwani yote kwa ujumla+Zanzibar na tanga ni ccm.
 
Hata mkijumuika kaskazini yote muwe chadema haisaidii kitu, sisi wana kanda ya ziwa, magharibi, kati, kusini na pwani yote kwa ujumla+Zanzibar na tanga ni ccm.
Unaongelea kanda ipi ya ziwa? Labda kifuani kwako.
Kwa huu ugumu wa maisha unaochagizwa na wizi wa mali za umma, ni punguani tu ataiunga mkono ccm
 

Attachments

  • wildebeest-poke.gif
    wildebeest-poke.gif
    1.1 MB · Views: 1
Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watuka kwa Rosta 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.

Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.

Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Moshi ni zaidi ya ARUSHA.
Priscus Tarimo mbunge wa Moshi mjini hajui hata majukumu yake, anazurura kugawa mitungi ya gesi kutoka kwa Rosta Hasisi na kuzindia miradi ya serikali.
 
Wasalimieni huko hao watani wangu..natumaini mtakuja na Jambo zito sana Mwongozo Mpyaa wa UKOMBOZI

Arusha tupo standby kwa Lolote!!!
Mkitaka chama chenu kiendelee, basi epukaneni na udini, ukabila na ubaguzi japo sio wote wanachadema wana elements hizo

Mfikishie na myahudi mweusi LEMA aache udini
 
Back
Top Bottom