Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Jana kalala na viatuSijui Gambo atakimbilia wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana kalala na viatuSijui Gambo atakimbilia wapi
Atarudia kazi yake ya utapeliSijui Gambo atakimbilia wapi
Hatari snHata mimi nakuunga mkono maana ule moshi na kisha ajali magari 18 majuzi hapa ni matokeo ya hofu zao
Nielezee mimi maana ya ngome na pia mambo gani ambayo ni baadhi ,wananchi wamechoshwa nayo, nielezee nini mafanikio ya serikali ya ccm kwa miaka zaidi ya 60 iliyotawala nchi yangu, elimu shida na quality yake imeporomoka mno (royal families watoto wao chuo wapo Canada,UK, US, wits University etc etc na sio UDOM),umeme shida, sukari hakuna, barabara mbovu, nipe fanikio lolote lile la ccmHivi unaelewa maana ya ngome? Au wananchi wamechoshwa na baadhi ya mambo ya serikali?
Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.
Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.
Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Wananchi wakichoka hawahitaji mwanasiasa kuwaandamanisha.
Unaongelea kanda ipi ya ziwa? Labda kifuani kwako.Hata mkijumuika kaskazini yote muwe chadema haisaidii kitu, sisi wana kanda ya ziwa, magharibi, kati, kusini na pwani yote kwa ujumla+Zanzibar na tanga ni ccm.
Unaumia ukiwa wapi Ndugu?
CCM NI MAMBA TUNATAFUNA TU WAJINGA KAMA NYIEUnaumia ukiwa wapi Ndugu?
Kila kitu huwa ni mpango wa MunguHii kauli hua naipenda knoma [emoji23]
CCM imetlongoza serikali miaka yote Kwa vyovyoye itakuwa ni mpango MunguHii kauli hua naipenda knoma [emoji23]
Wasalimieni huko hao watani wangu..natumaini mtakuja na Jambo zito sana Mwongozo Mpyaa wa UKOMBOZIMtwara Kucheere
Jana kashinda analia hapa Burka.....Sijui Gambo atakimbilia wapi
Moshi ni zaidi ya ARUSHA.Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watuka kwa Rosta 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana.
Pili ni mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali na radi iliyosambaratisha jukwaa la viongozi. Cha ajabu viongozi waliendelea na mkutano as usual kana kwamba hakuna Msiba uliotokea na hakuna mvua iliyonyesha. Wana Arusha walidhamiria maandamano haya.
Kwa hakika hii ni salamu kwamba Arusha ni ngome ya Chadema. Sioni sababu ya CCM kuendelea kuing'ang'ania kuanzia nafasi za Udiwani, Ubunge na hata Umeya. Arusha aachiwe God bless Lema.
Yaliyoletwa na viongozi wa ccm wasiojaliHayo yote yanasababishwa na maisha magumu ya Watanzania!
Unaongelea kanda ipi ya ziwa? Labda kifuani kwako.
Kwa huu ugumu wa maisha unaochagizwa na wizi wa mali za umma, ni punguani tu ataiunga mkono ccm
Mkitaka chama chenu kiendelee, basi epukaneni na udini, ukabila na ubaguzi japo sio wote wanachadema wana elements hizoWasalimieni huko hao watani wangu..natumaini mtakuja na Jambo zito sana Mwongozo Mpyaa wa UKOMBOZI
Arusha tupo standby kwa Lolote!!!
HahahaWewe ni msukuma kweli? Au ni mtu wa kaskazini unaishi kanda ya ziwa?