Sana mama imekuja imeshindilia ugumu wa maisha.
Yaani wiki jana niliamka usiku nikasali nikamaliza nililia sana mana nilikuwa naona narudi nilipotoka.
Unapenda gambe mwajey....nipe directions pm nije na wana tukate majiYa vinywaji bestie. Karibu Mwananyamala siku moja uniungishe hata maji tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jumla au rejareja??Ya vinywaji bestie. Karibu Mwananyamala siku moja uniungishe hata maji tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri ilitokea Weakness furani Corona ikaja tandika palepale kwenye weakness on Spot.Mkuu amu 'never give up' ndio mana mkaitwa 'wajasili' maana yake ninyi ni watu mahodari wenye mioyo migumu msiogopa na mda wowote mwaeza thubutu kufanya kitu flani.
Mmoja. Ya mradi wako na hisi ni ule wa vijana wanaozunguka na baiskeli kama sijakosea.
Ule mbona hata kwakipindi hiki unafanyika vizuri sana. Usingeshusha silaha chini. Kwa mkoa huu nilipo hapa mtaani kuna mama wa ki africast mmoja anavijana karibu ishirini na wote bado wanazunguka.
Rudi kazini kikubwa labda waweza punguza production tu
Mkuu una hoja nzuri ya kuwa na B zaidi ya moja ila hapo kwenye jinsi ya kuwa nazo uwanze kiimpigo 3 nahisi ulitereza kukisema hicho kwa ninavyokujua hukupaswa kusema kitu kama hicho.Nakubali wala sikatai kbs,ukawa na 1M au 2M au kiasi chochote ukaambiwa mpe mtu anzishe biashara
wakaja vijana wawili mbele yako mmoja akakupa wazo la biashara 1 ambalo atalisimamia kwa ufasaha
na aka kuahidi atarudisha pesa yako baada ya mwezi,Mwingine akakupa mawazo ya biashara 3 nae
akakuelezea na kuchambua atavyofanyaa kwa ufanisi na akakuahidi atarudisha pesa yako baada ya mwezi.
wewe kama mtoa mkopo,utampa nani huo mkopo wako kati ya vijana hao wawili mbele yako.
NOTE: VIJANA wote ni wapya ktk biashara wote hawana experience
Kuanziasha biashara zaidi ya mmoja kwa pamoja na kwa mda mmoja ni hatari; waweza ukajikuta umefeli pote.
Ni vizuri kuipa nafasi biashara mmoja ikisimama vizuri then ndo safari ya biashara ya Pili ifuate.
Nafikiri hata wenye biashara zaidi mmoja walifuata misingi hii. Hakuna mtu anayependa kuwa na biashara mmoja tu hiyo hiyo na akaridhika. Ila na kwanini urisk pesa yako ya mtaji kwa biashara tatu tofauti tena ambazo hujawahi zifanya kabla.
Ujasiriamali mgumu mumie,ndio mana tunashauriana kila siku
usiwe na biashara moja,maana ukija upepo kama huu kilio chake
sio cha kawaida,mtu unakuta ana 1M anataka kufungua biashara
anamaliza 1M yote kwenye biashara 1 huyu mtu lazima ipo siku atalia tu.
wakati alikua anauwezo akaigawa 1M akatoa biashara za 300k kama 3 hivi
ikiyumba hii ile inaenda na haziwezi kuyumba zote otherwise uwe ulikurupuka
wakati wa kuzifungua,Ujasiriamali maana yake ni ufanye biashara zaidi ya mbili.
Ila kwa hali ya sasa hamna mfanya Legal business mwenye amani,Hakuna Hali ni ngumu.
Nafikiri ilitokea Weakness furani Corona ikaja tandika palepale kwenye weakness on Spot.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii yako ya kujaribu hiki na kile kwa wakati mmoja nimeshafanya sana uko nyuma na Mara zote nimedondokea pua mkuu.Ukiona
Lakini pia biashara ni risk na hata ktk hiyo mpya aliyofungua bado hana uhakika nayo
kwakua umeshaamua kucheza ngoma,basi ingia uwanjani icheze ukisema ufanye kwa
kusikilizia upepo wa biashara 1,utajikuta unapoteza Muda na Pesa Pia maana hamnaga biashra
inakaa stable "kamwe" hata umfate bakhressa umuulize anataka nn atakwambia bado anadhani
taste ya zile ice cream zake sio tamu kama anavyotaka,anahtaji pesa zaidi kuboresha.
Muhimu ukishaamua kuwa mjasiramali jitose experience utaipata humo humo uwanjani maana
hamna chuo cha ujasiriamali DUNIANI ni mtu kuamua kukubali risk na kuzi face jicho kwa jicho.
Hii yako ya kujaribu hiki na kile kwa wakati mmoja nimeshafanya sana uko nyuma na Mara zote nimedondokea pua mkuu.
Sababu ya kufanya kitu zaidi ya viwili nimejikuta gari iliyokuwa ikibeba abiria toka simu 2000 to gongolamboto ipo juu ya mawe kwa miezi kadhaa sasa na uwezo wa kuitoa sina, najikusanya kidogo kidogo irudi njiani.
Sasa hivi na komaa na kitu kimoja tu ambacho kinaonekana kwenye avater yangu.( biashara ya mawe ya dolomite)
hata wahenga walituasa
Mshika mawili mmoja humponyoka.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Corona imewafanya mamotivesheni spika wakae kimya kabisa.
Huku nilipokuja nilitaka niingiwie na tamaa nikicheki mkaa gunia buku 8k, limao mmoja shambani bei yake ni shilling 10 ya kitanzania. Kuku ni kama bei ya singida tu.Yaani nikikumbuka biashara nilizoanzisha hela nilizoweka na zikapotea nabaki nasema ama kweli ukiona nyani mzee ujue kakwepa mishale mingi.
Unapenda gambe mwajey....nipe directions pm nije na wana tukate maji
πππnyapu hazitoki kabisa
kwa awamu hii zilishuka bei karibia na bure
sasa Corona vidume vinakimbia unajua hela ndio stimulator