Nimeamini jamani hakuna kitu kigumu kama wajasiriamali

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwani corona inakaa milele mkuu?

Mkuu kumbuka sasa hivi vilio vyote unavyoviona humu, corona haijamaliza hata mwezi hapa nchini na wala hatujaingia lockdown. Na ukweli ni kwamba, hata dawa ya corona ipatikane leo, itachukua si chini ya mwaka kwa hali kuanza kurudi kama ilivyokua mwanzo. Sasa niambie ni wafanyabiashara wangapi wanaweza kujiendesha kwa kipindi hicho bila income yoyote?
 
Covid 19 amekuwa hatari kuliko hatari yoyote duniani kwa sasa, wanaosema hili nalo litapita ni kweli lakini litaacha madonda makubwa na makovu yake huenda watu wakafa kwa sonono na kiharusi.

Huko bank ndio sijui na vibanda vyetu watapiga minada au itakuwaje, manake kuna wenzangu waliamua kufanya nyumba zao bond, dadeq!! Nadhani 2020 na 2021 itakuwa miaka migumu mno, sio kwa mjasiriamali tu hata mwajiriwa.
 
Eee Mungu tunaomba toba na rehema, wewe ni Mungu unaerehemu, ni Mungu unaeponya, ni Mungu unaesamehe. Samehe Baba, ponya Baba na uturehemu pale tulipokwenda kinyume na mapenzi yako, Baba tunaomba utuvushe kwenye janga hili, tunajua kuna magonjwa mengi yanayochukua uhai wa binadamu lakini katika hili tumeshindwa Baba, dunia imejaa hofu na woga, dunia inaomboleza, hatujui mwisho wetu utakuwaje, Mungu tunaomba maisha yetu yarudi kama tulivyokuwa tukiishi siku zote, tumekutenda dhambi lakini Baba kumbuka rehema na uondoe ghadhabu juu ya nchi, watu wanaangamia kwa njaa, maisha magumu kwa kuwa hakuna kazi, watoto wanatamani kwenda shule lkn hawewezi tena, kumbuka rehema sawa sawa na neno lako kutoka Habakuki 3:1-2..Amen!
 
Kufa kufaana Mimi nakusanya saa hizi raw material naweka store after Corona kama nitavuka salama tatengeneza margin profit.Japo project zingine zimesimama sababu ya corona
 

Nchi gani hiyo?
 
Hv anayeenda kununua nyapu alafu aende gest kuinyandua .
Nahisi akili yak itakuwa haipo sawa kwa kipind hiki
Hata kwenye dhiki ya namna gani uchakataji papuchi uko palepale tu. Labda kama wewe mwenyewe utasitisha zoezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…