Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
This business is lucrativeYou are right on the money!
Huku ileje ndio tunafanya hivyo. Nyumbani kumenoga
Mimi ndio sina la kusema, najipanga nirudishe mpira kwa kipa tena safari hii nadhani nitakaa miaka miwili
Ahsante sanaPole sana.
Ndio mchangamke hahaHahah basi tutarudisha mpira Ileje.
Kipa wako yuko wp?Mimi ndio sina la kusema, najipanga nirudishe mpira kwa kipa tena safari hii nadhani nitakaa miaka miwili
Unataka tuende wote?Kipa wako yuko wp?
Naweza kuwa kipa wakoUnataka tuende wote?
Eee Mungu tunaomba toba na rehema, wewe ni Mungu unaerehemu, ni Mungu unaeponya, ni Mungu unaesamehe. Samehe Baba, ponya Baba na uturehemu pale tulipokwenda kinyume na mapenzi yako, Baba tunaomba utuvushe kwenye janga hili, tunajua kuna magonjwa mengi yanayochukua uhai wa binadamu lakini katika hili tumeshindwa Baba, dunia imejaa hofu na woga, dunia inaomboleza, hatujui mwisho wetu utakuwaje, Mungu tunaomba maisha yetu yarudi kama tulivyokuwa tukiishi siku zote, tumekutenda dhambi lakini Baba kumbuka rehema na uondoe ghadhabu juu ya nchi, watu wanaangamia kwa njaa, maisha magumu kwa kuwa hakuna kazi, watoto wanatamani kwenda shule lkn hawewezi tena, kumbuka rehema sawa sawa na neno lako kutoka Habakuki 3:1-2..Amen!
Sawa. Nipe locationNaweza kuwa kipa wako
Shida ni kwamba hauzoeleki..kaka usiombe kabisa hii kitu..ni kweli huwezi kukaa ndani lakini tahadhari muhimu.
Mbezi beach, karibu na Ramada Hotel karibu.Sawa. Nipe location
Nitumie na nauli kabisaMbezi beach, karibu na Ramada Hotel karibu.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13], Si unaandika mashudu.
Vipi Makebich yako hayajaenda na Mvua hapo ushirombo?