Nimeamini jamani hakuna kitu kigumu kama wajasiriamali

Nimeamini jamani hakuna kitu kigumu kama wajasiriamali

Diversify your investments, kua na miradi tofauti, ukitegemea mfano restaurant peke yake janga kama hili linatokea unakufa. Kua na biashara tofauti moja ikifa nyingine inasurvive. Na savings ni muhimu sana, kitu kama hiki kikitokea uwe na uwezo wa kujifungia ndani hata mwaka na bado ukala vizuri.

Entrepreneurship sio easy, ila upside yake ni kubwa mno that’s why we do it, there’s no limit to what you can achieve. Mtegemea mshahara kama limit yake ni milioni kwa mwezi anastuck hapohapo tu, ovyo kabisa
 
Corona itatuonesha umaskini halisi wa nchi yetu, zile pambio za dona kantre natumai zitakoma kwa wakati huu, nchi haina policies za kuwakwamua wajasiriamali/wafanyabiashara, hakuna katazo na sera kwa mabenki, hakuna chochote tupo tupo tu masikini. Tunayoweza sisi siasa za hovyo hovyo tu.

Hili likipita viongozi wa nchi hii kama kweli wanaipenda nchi yetu wanatakiwa wawe wamebeba mafunzo kadhaa washirikishe wadau waje na mipango mikakati tekelezi itayokwamua hali ya mtanzania wa kawaida.

Pole Amu, poleni wajasiriamali wenzangu na watu wote ambao kwa namna moja au nyingine tumeathirika. Kama nchi tunatakiwa tutafakari kweli kweli ustawi wa jamii zetu.
 
Huku nilipokuja nilitaka niingiwie na tamaa nikicheki mkaa gunia buku 8k, limao mmoja shambani bei yake ni shilling 10 ya kitanzania. Kuku ni kama bei ya singida tu.

Nikawaza nikawazua nikajisemea nikomae ni kitu kimmoja tu kilichonitoa dar na si kingine bali 'mawe'

Maana nikitaka vyote nitarudi kulekule kwa mwanzo.


Kwaiyo kama usemavyo ni vizuri ku deal na kitu kimoja tu.
mzee hlo gunia linakuwa na debe ngapi maana huku town debe wanauza 5k@

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
 
Mfano mfanyakazi wa hotel za kitalii ame diversify kwa kuwa na tenda za kupeleka bidhaa mahotelini, ana miliki bar na anaendesha sehemu ya betting

Niambie huyu "diversifyer" anachomokea wapi?

Ku diversify ni mbinu general ya ku minimize risk, lakini huyu Corona anapiga kotekote

Hata kwenye zile biashara ambazo zinaoneka hazijaguswa na Corona, faida zimeshuka..... Uliza uambiwe.
Diversify your investments, kua na miradi tofauti, ukitegemea mfano restaurant peke yake janga kama hili linatokea unakufa. Kua na biashara tofauti moja ikifa nyingine inasurvive. Na savings ni muhimu sana, kitu kama hiki kikitokea uwe na uwezo wa kujifungia ndani hata mwaka na bado ukala vizuri.

Entrepreneurship sio easy, ila upside yake ni kubwa mno that’s why we do it, there’s no limit to what you can achieve. Mtegemea mshahara kama limit yake ni milioni kwa mwezi anastuck hapohapo tu, ovyo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mr kuku ni tapeli sema ataflow na corona kuziba utapeli wake.
Nilitamani niwekeze japo kidogo
Ila mbona sijaona walioinvest wakilalamjka?
au bado muda?!
 
Diversify your investments, kua na miradi tofauti, ukitegemea mfano restaurant peke yake janga kama hili linatokea unakufa. Kua na biashara tofauti moja ikifa nyingine inasurvive. Na savings ni muhimu sana, kitu kama hiki kikitokea uwe na uwezo wa kujifungia ndani hata mwaka na bado ukala vizuri.

Entrepreneurship sio easy, ila upside yake ni kubwa mno that’s why we do it, there’s no limit to what you can achieve. Mtegemea mshahara kama limit yake ni milioni kwa mwezi anastuck hapohapo tu, ovyo kabisa
Ingekuwa rahisi kama unavyoandika hapa wote tungekuwa na biashara kumi kumi.
 
Well hii thread ni kwa ajili ya wote tuliaoathiriwa kiuchumi directly na corona. Najua kila mmoja atakuwa ameathirika kwa level yake lakini nawaongelea wale waliopigwa pigo takatifu. Mfano anayefuga kuku wa kizungu atapeleka wapi na alikuwa anategemea watu wa catering kwenye mashughuli, watu wa catering na mapambo jamani eeee ndo hivo tena tupige goti tu naimani Jehovah adinai atatusikia.

Kuna wale wanaofanya biashara za importation na exportation jamani poleni sana wenzangu hiki kilio chetu sote.

Hotels, wafanyakazi na wajasi wnaotegemea watalii.

Wamiliki wa mashule jamani mbaya zaidi kipato hakuna lakini lazima ulipe mikopo ya bank na ulipie fixed costs.

Wauza uji mihogo n. K mashuleni poleni sana.

Sasa usiombe corona ikuathiri kwa kiasi kikubwa na huku una mkopo sijui bank sijui microfinance haloo hao watu wanajifanya kama vile hakuna kinachoendelea wao wanataka rejesho tu ilihali mikopo wamesitisha na pengine hata wao mishahara wamepunguziwa kwa kiasi fulani ila sasa kwa kupiga simu na kudai hao balaaa.

Kama mimi mkurugenzi na muanzilishi wa kampuni ninalia lia njaa fikiria wale wa chini yangu hali ikoje?

Shughuli za uzalishaji hakuna lakini fixed costs kama hela ya pango na ulinzi lazima nilipie natoa wapi mimi hizo ilhali sizalishi?

Binafsi nimefunga ofisi nimefunga na nyumba nimerudi kwa bi mkubwa vijana wa sasa wanasema kurudisha jezi eee ndo nisharudisha jezi hivo.

Na hii ni biashara yangu changa sana niliyoipambania usiku na mchana isimame. Ninmeipambania haswa wanaojua nini nachofanya humu na tuna mawasiliano ya karibu wanaelewa.

Lakini corona imeipenda zaidi.

Ooo kuna watu watakuja na sera zao hapa huna saving sijui akiba uncertainties bla bla nyie ndugu kama ninavyosema kujiajiri ni kugumu sana hasa kukuza biashara jamani ukisema utoe laki uweke akiba unawaza hii laki si nikinunua kitendea kazi fulani kitasaidia mauzo yaongezeke? Basi unachukua ile hela unaongeza vitendeo kazi.

Wajasiriamali na wafanyabiashara mliokuwa kwenye game mda mrefu hongereni sana na SHIKAMOOOOONI maana najua mmevuka vizingiti vingi.

Wale jirani zangu jamani nishatoka kijijini nimerudi mjini kwenye ugali wa bure mnaweza kuja tu kunisalimia.
Corona imeathiri hadi wale watu wa hiyo hela itume kwenye namba hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimekimbia ofisi juz kat wamepiga mnada furniture za ofis yangu wateja wangu wengi ni mashule na makampuni ya utalii
Pia niliagiza mizigo china imekwama uko tangu february ndugu mteja anataka refund alaf mkulungwa niko juu ya mawe balaa
Yaan kua CEO wa vikampuni uchwara ni stress balaa kuitwa tapeli nje nje yaan
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] corona imeleta balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitaandika kesho

Lakini kuna kipindi mda mrefu sana alifunga comments instagrama ulalamishi ulishaanza akawa anatupia haruhusu coments.
Nilitamani niwekeze japo kidogo
Ila mbona sijaona walioinvest wakilalamjka?
au bado muda?!
 
Nitaandika kesho

Lakini kuna kipindi mda mrefu sana alifunga comments instagrama ulalamishi ulishaanza akawa anatupia haruhusu coments.
Heee haya maa
 
Diversify your investments, kua na miradi tofauti, ukitegemea mfano restaurant peke yake janga kama hili linatokea unakufa. Kua na biashara tofauti moja ikifa nyingine inasurvive. Na savings ni muhimu sana, kitu kama hiki kikitokea uwe na uwezo wa kujifungia ndani hata mwaka na bado ukala vizuri.y we do it, there’s no limit to what you can achieve. Mtegemea mshahara kama limit yake ni milioni kwa mwezi anastuck hapohapo tu, ovyo kabisa
Kipindi hiki labda uwe na hospital ndio utapiga bao na tunaelekea kwa lock down
 
Inasikitisha sana. Nchi nyingine zinasaidia watu wake katika kipindi hiki kigumu. Ya kwetu inaomba kuchangiwa pesa na watu wake za kupambana na corona! Tumwombe Mungu atuvushe.

Utakuwa hujitambui. Mitandaoni humu kunawafqnya mjisahau hadhi yenu kama Taifa maskini. Kama wewe huna nchi itakuwa nayo. Lipa Kodi nk.

Tena shukuru Mungu Hakuna total lockdown. Fuata masharti. Jilinde na mlinde mwenzako. Nawazaga watu kama nyie ndo kama yule jamaa wa Mwanza aliyetoka Dubai akazunguka dar siku 2-3. then akaenda mwanza akakutwa na corona. Watanzania hatuweza LOLOTE kama hatutajifunza kuwa responsible for our actions. Na Tuanze kwa watoto. Sisi kazi yetu majungu na kuhisi kuwa tulipaswa kufanyiwa kila kitu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom