kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Mwaka juzi kuna mwanamke ambaye tulikutana naye kwenye sherehe, Mwanamke huyo aliniomba namba zangu za simu nilimpa. Tukawa tuna chat naye kawaida tu.
Siku moja tu akaniambia ananipenda. Nikamuambia nitamjibu. Muda ambao nilikaa kimya bila kuongea naye nilikuwa na fikiria na kujaribu kumpa nafasi katika moyo wangu ila kiukweli nilikuwa sina hisia kabisa kwake,
Na sababu kubwa ilikuwa sura yake nilikuwa naona ana sura mbaya kinoma na pia alikuwa yupo kishamba zaidi yaani alikuwa havai kama wanawake wa kisasa mivalio yake yeye alikuwa anavaa kama hawa mama zetu wa zamani tu vitenge na kanzu ndefu za ajabu ajabu.
Hiyo ikawa sababu ya mimi kumpiga chini na kublock namba yake whatsApp na na kwenye simu number
Nikampotezea kabisa.
Sasa jana si nimekutana naye kumbe ameshaolewa na kiukweli kabadirika kinoma demu amekuwa mzuri mpaka natamani tena muda urudi ni mkubalie halafu nimtengeneze zaidi ya huyo jamaa wake.
Siku moja tu akaniambia ananipenda. Nikamuambia nitamjibu. Muda ambao nilikaa kimya bila kuongea naye nilikuwa na fikiria na kujaribu kumpa nafasi katika moyo wangu ila kiukweli nilikuwa sina hisia kabisa kwake,
Na sababu kubwa ilikuwa sura yake nilikuwa naona ana sura mbaya kinoma na pia alikuwa yupo kishamba zaidi yaani alikuwa havai kama wanawake wa kisasa mivalio yake yeye alikuwa anavaa kama hawa mama zetu wa zamani tu vitenge na kanzu ndefu za ajabu ajabu.
Hiyo ikawa sababu ya mimi kumpiga chini na kublock namba yake whatsApp na na kwenye simu number
Nikampotezea kabisa.
Sasa jana si nimekutana naye kumbe ameshaolewa na kiukweli kabadirika kinoma demu amekuwa mzuri mpaka natamani tena muda urudi ni mkubalie halafu nimtengeneze zaidi ya huyo jamaa wake.