Nimeamini katika dunia hii hakuna Mwanamke mbaya

Nimeamini katika dunia hii hakuna Mwanamke mbaya

Kuna demu mmoja katoka bush nimemuona hapa mtaani yaani bado ana ile woga kabisa kwa mwanaume. Nafanya mchakato nione nafika vipi kwao chief mkwawa niweke ndani.

Ngoja niibishe kwanza. Hizi dada zetu za dar wacha tuendelee tafuta utelezi
 
Kuna demu mmoja katoka bush nimemuona hapa mtaani yaani bado ana ile woga kabisa kwa mwanaume. Nafanya mchakato nione nafika vipi kwao chief mkwawa niweke ndani.

Ngoja niibishe kwanza. Hizi dada zetu za dar wacha tuendelee tafuta utelezi
Angalia yasje kukuta ya profesa j. demu unamtengeneza afu anakuja kuujua mji anakuona ww sio type yake.
 
Mwaka juzi kuna mwanamke ambaye tulikutana naye kwenye sherehe, Mwanamke huyo aliniomba namba zangu za simu nilimpa. Tukawa tuna chat naye kawaida tu.

Siku moja tu akaniambia ananipenda. Nikamuambia nitamjibu. Muda ambao nilikaa kimya bila kuongea naye nilikuwa na fikiria na kujaribu kumpa nafasi katika moyo wangu ila kiukweli nilikuwa sina hisia kabisa kwake,

Na sababu kubwa ilikuwa sura yake nilikuwa naona ana sura mbaya kinoma na pia alikuwa yupo kishamba zaidi yaani alikuwa havai kama wanawake wa kisasa mivalio yake yeye alikuwa anavaa kama hawa mama zetu wa zamani tu vitenge na kanzu ndefu za ajabu ajabu.

Hiyo ikawa sababu ya mimi kumpiga chini na kublock namba yake whatsApp na na kwenye simu number
Nikampotezea kabisa.

Sasa jana si nimekutana naye kumbe ameshaolewa na kiukweli kabadirika kinoma demu amekuwa mzuri mpaka natamani tena muda urudi ni mkubalie halafu nimtengeneze zaidi ya huyo jamaa wake.
TAFUTA HELA UMPENDEZESHE MREMBO, INAWEZEKANA

WE UNAMUONA MBAYA, WENGINE WANAMUONA MZURI
 
Nimetafakari ulipata wapi ujasiri wa kusema utamjibu, au ulikua bado kijana mdogo Mkuu [emoji23][emoji23]
 
Ushawahi lala na demu asubuhi unajiuliza “what was I thinking 🤔 “ the b*tch is ugly AF
 
Mwaka juzi kuna mwanamke ambaye tulikutana naye kwenye sherehe, Mwanamke huyo aliniomba namba zangu za simu nilimpa. Tukawa tuna chat naye kawaida tu.

Siku moja tu akaniambia ananipenda. Nikamuambia nitamjibu. Muda ambao nilikaa kimya bila kuongea naye nilikuwa na fikiria na kujaribu kumpa nafasi katika moyo wangu ila kiukweli nilikuwa sina hisia kabisa kwake,

Na sababu kubwa ilikuwa sura yake nilikuwa naona ana sura mbaya kinoma na pia alikuwa yupo kishamba zaidi yaani alikuwa havai kama wanawake wa kisasa mivalio yake yeye alikuwa anavaa kama hawa mama zetu wa zamani tu vitenge na kanzu ndefu za ajabu ajabu.

Hiyo ikawa sababu ya mimi kumpiga chini na kublock namba yake whatsApp na na kwenye simu number
Nikampotezea kabisa.

Sasa jana si nimekutana naye kumbe ameshaolewa na kiukweli kabadirika kinoma demu amekuwa mzuri mpaka natamani tena muda urudi ni mkubalie halafu nimtengeneze zaidi ya huyo jamaa wake.
Manchester United vs Arsenal
Umefanya Betting Wapi Hii Leo
 
Mwaka juzi kuna mwanamke ambaye tulikutana naye kwenye sherehe, Mwanamke huyo aliniomba namba zangu za simu nilimpa. Tukawa tuna chat naye kawaida tu.

Siku moja tu akaniambia ananipenda. Nikamuambia nitamjibu. Muda ambao nilikaa kimya bila kuongea naye nilikuwa na fikiria na kujaribu kumpa nafasi katika moyo wangu ila kiukweli nilikuwa sina hisia kabisa kwake,

Na sababu kubwa ilikuwa sura yake nilikuwa naona ana sura mbaya kinoma na pia alikuwa yupo kishamba zaidi yaani alikuwa havai kama wanawake wa kisasa mivalio yake yeye alikuwa anavaa kama hawa mama zetu wa zamani tu vitenge na kanzu ndefu za ajabu ajabu.

Hiyo ikawa sababu ya mimi kumpiga chini na kublock namba yake whatsApp na na kwenye simu number
Nikampotezea kabisa.

Sasa jana si nimekutana naye kumbe ameshaolewa na kiukweli kabadirika kinoma demu amekuwa mzuri mpaka natamani tena muda urudi ni mkubalie halafu nimtengeneze zaidi ya huyo jamaa wake.
Hahaha kumbe hujuagi mwanamke mzuri unaangaliaga mavazi?
 
uongo wengine si hatuamini hadi picha tuma picha ya mtako huo mkuu
 
Back
Top Bottom