Nimeamini Maisha si kombolela, nimepata akiba ya Tsh. Milioni 14.7 mwaka huu

Nimeamini Maisha si kombolela, nimepata akiba ya Tsh. Milioni 14.7 mwaka huu

Mwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance mbalimbali za kukuwesha kusongesha maisha kwa mwezi ukipambana vizuri 300k hukosi mbali na mipigo mingine napo nilikuwa nasevu kwa kila nikipatacho.

Dah utajiri mgumu jamani. Nilianza saving UTT miaka ya nyuma ila kwa mwaka huu nimejizima Data kwa kusevu 1ml + kila mwezi. Ni ngumu sana kwa kipato changu nikipatacho.
-Sijanywa bia yoyote mwaka huu.
-Familia imeishi kigumu sana kwa kipato cha 300k+ kila mwezi. ( Uzuri mke aliridhia na kunitia moyo).
-Nina nyumba ya kuishi.
  • Watoto bado wadogo under 7.
  • Nimeteseka sana nimeishia kama shetani vile ila nimefanikisha.

FUNZO;

Maisha ni Maumivu, kujitoa na uvumilivu. Kipato cha
mwezi huu na ujao ni full kula Bata kujipooza machungu.

Update;
Now Salio la UTT linasoma 30m+ malengo ni kuendelea kuwekeza until nifike 100m hapo ndipo nahisi nitaanza kupata financial freedom.
mkuu nielekeze kuhusu kufanya saving UTT
 
Kwa kweli tumeumbwa tofauti sana nashangaa niwekeze mil 25 nipate marejesho ya milion 2.5 kwa mwaka wakati kuna harakati kibao ukifanya serious hiyo ni pesa ya faida ya miezi miwili au mitatu tu tena kwa mtaji usiozidi milion 5.

Watu tunatengeneza 1mil per month kwenye uwekezaji wa vipesa vya kawaida kabisa , ishu za kuwekeza kwa taasisi zinapaswa kuwa za pesa ya ziada kabisa. Mwanao anapaswa kurithi assets not money in banks ambazo anaweza hata asijue namna ipi azitumie. ataishia kuzila
Ebu nipe akili mwanawane....nina million 7 hapa zimekaa kizembe nisije nikamaliza kwenye mbususu. Nipe mawazo niweke wapi japo nipate faida laki 7 kwa mwezi
 
Mwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance mbalimbali za kukuwesha kusongesha maisha kwa mwezi ukipambana vizuri 300k hukosi mbali na mipigo mingine napo nilikuwa nasevu kwa kila nikipatacho.

Dah utajiri mgumu jamani. Nilianza saving UTT miaka ya nyuma ila kwa mwaka huu nimejizima Data kwa kusevu 1ml + kila mwezi. Ni ngumu sana kwa kipato changu nikipatacho.
-Sijanywa bia yoyote mwaka huu.
-Familia imeishi kigumu sana kwa kipato cha 300k+ kila mwezi. ( Uzuri mke aliridhia na kunitia moyo).
-Nina nyumba ya kuishi.
  • Watoto bado wadogo under 7.
  • Nimeteseka sana nimeishia kama shetani vile ila nimefanikisha.

FUNZO;

Maisha ni Maumivu, kujitoa na uvumilivu. Kipato cha
mwezi huu na ujao ni full kula Bata kujipooza machungu.

Update;
Now Salio la UTT linasoma 30m+ malengo ni kuendelea kuwekeza until nifike 100m hapo ndipo nahisi nitaanza kupata financial freedom.
Uko na bahati sana mke wako ni muelewa.
Ila kwa sasa nakushauri hiyo hela uifanyie biashara izalishe sio kuzikusanya utakuwa unajipa mateso mazito huku pesa uliyohifadhi itakuwa inazidi kushuka thamani siku hadi siku.
 
Hapo kwenye kuzila na Malaya ndipo wanaume tunapokosea na kupiga mweleka halafu tunasingizia tumelogwa. 😂 😂 😂 😂
Mimi mwanamke ata aniseme vipi kuzilaa hapna chakula ntakula na mbususu ntakula tumezinguana sisi lkn sio kwa hivyo vitu🤣🤣🤣
 
Mwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance mbalimbali za kukuwesha kusongesha maisha kwa mwezi ukipambana vizuri 300k hukosi mbali na mipigo mingine napo nilikuwa nasevu kwa kila nikipatacho.

Dah utajiri mgumu jamani. Nilianza saving UTT miaka ya nyuma ila kwa mwaka huu nimejizima Data kwa kusevu 1ml + kila mwezi. Ni ngumu sana kwa kipato changu nikipatacho.
-Sijanywa bia yoyote mwaka huu.
-Familia imeishi kigumu sana kwa kipato cha 300k+ kila mwezi. ( Uzuri mke aliridhia na kunitia moyo).
-Nina nyumba ya kuishi.
  • Watoto bado wadogo under 7.
  • Nimeteseka sana nimeishia kama shetani vile ila nimefanikisha.

FUNZO;

Maisha ni Maumivu, kujitoa na uvumilivu. Kipato cha
mwezi huu na ujao ni full kula Bata kujipooza machungu.

Update;
Now Salio la UTT linasoma 30m+ malengo ni kuendelea kuwekeza until nifike 100m hapo ndipo nahisi nitaanza kupata financial freedom.
Una target kama yangu
 
Back
Top Bottom