Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante naona liquid fund iko njemaLiquid Fund na Umoja
Hivi UTT ni nini tufahamishane kwanzaNimeinvest UTT AMIS mkuu
Nielekeze hizo skills, maana maji yamefika shingoniUngekuwa una open mind
Ningekwambia online kunakitu kinaitwa “high income skills”
Nunua laptop nzuri na simu nzuri
Nununua bando tafuta ujuzi ambao utajifunza kilasiku
Baada ya mwaka au miaka 2 ROI itakuwa kubwa sana .
Mimi hela nyingi nazopata nawekeza kwenye soft skills.
Return niliyoipata sijawahi kuwaza kwamba ningekuja kupata.
Nielekeze hizo skills, maana maji yamefika shingoni
Maamuzi + Kuwa na lifestyle inayosupport saving.Nyie wenzangu mnawezaje save mpaka inafika million?
Ebu nipeni maujanja
Usijali nakumbuka...utulie vilevilere -invest...
Waswas wangu unaweza kuwa haupo dunianMwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance mbalimbali za kukuwesha kusongesha maisha kwa mwezi ukipambana vizuri 300k hukosi mbali na mipigo mingine napo nilikuwa nasevu kwa kila nikipatacho.
Dah utajiri mgumu jamani. Nilianza saving UTT miaka ya nyuma ila kwa mwaka huu nimejizima Data kwa kusevu 1ml + kila mwezi. Ni ngumu sana kwa kipato changu nikipatacho.
-Sijanywa bia yoyote mwaka huu.
-Familia imeishi kigumu sana kwa kipato cha 300k+ kila mwezi. ( Uzuri mke aliridhia na kunitia moyo).
-Nina nyumba ya kuishi.
- Watoto bado wadogo under 7.
- Nimeteseka sana nimeishia kama shetani vile ila nimefanikisha.
FUNZO;
Maisha ni Maumivu, kujitoa na uvumilivu. Kipato cha
mwezi huu na ujao ni full kula Bata kujipooza machungu.
Update;
Now Salio la UTT linasoma 30m+ malengo ni kuendelea kuwekeza until nifike 100m hapo ndipo nahisi nitaanza kupata financial freedom.
DaaahhhUkifkisha 20M unakufa ndugu tunaidhulumu familia yako
mzungu mimi....Usijali nakumbuka...utulie vilevile
Tulia kama hujui vile rafikimzungu mimi....
Umejitesa sana mkuu..... inabidi uchukue kidogo ukajipongeze mwisho wa mwakaMwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance mbalimbali za kukuwesha kusongesha maisha kwa mwezi ukipambana vizuri 300k hukosi mbali na mipigo mingine napo nilikuwa nasevu kwa kila nikipatacho.
Dah utajiri mgumu jamani. Nilianza saving UTT miaka ya nyuma ila kwa mwaka huu nimejizima Data kwa kusevu 1ml + kila mwezi. Ni ngumu sana kwa kipato changu nikipatacho.
-Sijanywa bia yoyote mwaka huu.
-Familia imeishi kigumu sana kwa kipato cha 300k+ kila mwezi. ( Uzuri mke aliridhia na kunitia moyo).
-Nina nyumba ya kuishi.
- Watoto bado wadogo under 7.
- Nimeteseka sana nimeishia kama shetani vile ila nimefanikisha.
FUNZO;
Maisha ni Maumivu, kujitoa na uvumilivu. Kipato cha
mwezi huu na ujao ni full kula Bata kujipooza machungu.
Update;
Now Salio la UTT linasoma 30m+ malengo ni kuendelea kuwekeza until nifike 100m hapo ndipo nahisi nitaanza kupata financial freedom.
Njia ya mafanikio.....Mwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance mbalimbali za kukuwesha kusongesha maisha kwa mwezi ukipambana vizuri 300k hukosi mbali na mipigo mingine napo nilikuwa nasevu kwa kila nikipatacho.
Dah utajiri mgumu jamani. Nilianza saving UTT miaka ya nyuma ila kwa mwaka huu nimejizima Data kwa kusevu 1ml + kila mwezi. Ni ngumu sana kwa kipato changu nikipatacho.
-Sijanywa bia yoyote mwaka huu.
-Familia imeishi kigumu sana kwa kipato cha 300k+ kila mwezi. ( Uzuri mke aliridhia na kunitia moyo).
-Nina nyumba ya kuishi.
- Watoto bado wadogo under 7.
- Nimeteseka sana nimeishia kama shetani vile ila nimefanikisha.
FUNZO;
Maisha ni Maumivu, kujitoa na uvumilivu. Kipato cha
mwezi huu na ujao ni full kula Bata kujipooza machungu.
Update;
Now Salio la UTT linasoma 30m+ malengo ni kuendelea kuwekeza until nifike 100m hapo ndipo nahisi nitaanza kupata financial freedom.