Nimeamini Maisha si kombolela, nimepata akiba ya Tsh. Milioni 14.7 mwaka huu

Nimeamini Maisha si kombolela, nimepata akiba ya Tsh. Milioni 14.7 mwaka huu

Hongera sana mkuu, rudia tena zoezi hilo mwaka ujao na inayofuata, utaona uchawi wa kutunza na kuwekeza pesa....Tuonane 18/11/2023 UTT_Amis AGM. 👍
 
Sasa mil 200 mtu anaweka utt huyo sio mwenzio. Sie bodaboda kiweka mil 25 utt ni counter productive kabisaaa
Unataka upate faida milioni 1 kwa mtaji wa buku 50 ,HAIWEZEIANI!!!

scenario kama hio very risk kupoteza ni dakika 0 tu. Au hata kuhatarisha afya Yako kama sio maisha Yako.

Risk: reward ratio. Haiendi hivyo.

Weka mzigo mkubwa upate faida kubwa Hela isiyo na MAWAAA!!!

just imagine mtu anaweza 1b tshs analamba ngapi kwa mwaka!? Labda atapewa 10% tu ambayo ni sawa na 100m aisee!!! Hii Hela ndefu sana still

Unaweza enda itapanya huko VIWANJA!!!! yote na still mwakani mzigo unasoma bila kuvujasho.

Au tuseme ukishalamba 100m unazirudisha kama mtaji , Compounding interest!!. Next year mzigo u asoma 110m. Maisha yanataka Nini ZAIDI!!?
 
Unataka upate faida milioni 1 kwa mtaji wa buku 50 ,HAIWEZEIANI!!!

scenario kama hio very risk kupoteza ni dakika 0 tu. Au hata kuhatarisha afya Yako kama sio maisha Yako.

Risk: reward ratio. Haiendi hivyo.

Weka mzigo mkubwa upate faida kubwa Hela isiyo na MAWAAA!!!

just imagine mtu anaweza 1b tshs analamba ngapi kwa mwaka!? Labda atapewa 10% tu ambayo ni sawa na 100m aisee!!! Hii Hela ndefu sana still

Unaweza enda itapanya huko VIWANJA!!!! yote na still mwakani mzigo unasoma bila kuvujasho.

Au tuseme ukishalamba 100m unazirudisha kama mtaji , Compounding interest!!. Next year mzigo u asoma 110m. Maisha yanataka Nini ZAIDI!!?
Nakubaliana nawe na ndio maana nikasema .tu ambaye anaweza wekeza over 200mil ujue huyo hamlingani.
Suala la risk reward linajulikana lakini mpaka mtu kuweka billion ujue alifanya kitu tufauyi mpaka kuzipata hizo hela
 
Mwamba sikia

Unaweza poteza maisha uwe makini sana na hiyo furaha ,ibilisi nayemjua miezi hii miwili anaenda kukupata ,Sasa Kaa utulie uwe kawaida
 
Mwamba sikia

Unaweza poteza maisha uwe makini sana na hiyo furaha ,ibilisi nayemjua miezi hii miwili anaenda kukupata ,Sasa Kaa utulie uwe kawaida
Usiwe pessimist.

Usiwe mchawi.

Uchawi sio lazima uloge.

Unaweza ukafa wewe na mawazo Yako hasi halafu mwana akawa yupo sana.

Chunga kinywaji chako kunena mabaya wakati wote.
 
Nakubaliana nawe na ndio maana nikasema .tu ambaye anaweza wekeza over 200mil ujue huyo hamlingani.
Suala la risk reward linajulikana lakini mpaka mtu kuweka billion ujue alifanya kitu tufauyi mpaka kuzipata hizo hela
Mambo yote yanawezakana.

Anza Sasa, kuwa na consistency.

Siku zote kuanza ndio ngumu ila ukishaanza ni mpera mpera inafika stage utaanza nogewa na mchezo.
 
Mambo yote yanawezakana.

Anza Sasa, kuwa na consistency.

Siku zote kuanza ndio ngumu ila ukishaanza ni mpera mpera inafika stage utaanza nogewa na mchezo.
Mchezo wa saivi UTT ni mgumu mwanzoni tu ukishazoea hutokuja kujutia
 
Mchezo wa saivi UTT ni mgumu mwanzoni tu ukishazoea hutokuja kujutia
Mimi namesake 20m mwaka huu , nataka niziingize huko UTT. Kuanzia mwakani Mungu akijalia uzima naweza kuongeza mtaji wangu 2m monthly.
 
Kwanini Mkuu. Actually nimeamua kwa mwezi huu na ujao asilimia 50 ya vipato vyangu niendelee kuwekeza kwenye ile 14.7 nyingine mahitaji ya familia. Hata hivyo mpaka Sasa UTT inasoma 30ml + kutokana na savings mbalimbali nilizowekeza.
UTT umewekeza mfuko gan kaka ambao ni mzuri
 
Back
Top Bottom