Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Mimi bonds ndio mpango nataka at 50 yangu nilibata tu mwanzo mwisho. Nikijali kufika huo umri2.5 m kwa muda wa miaka 20,,jumla unakuwa ume make 50 m na hapo hiyo 25 m uliyonunulia hatifungani inarudi kwa hiyo hapo unakuwa umeiua inflation kwa asimilia zaidi ya mia tatu hivi.
Mtume....🙆♂️Sasa kazinywee pombe ustarehe (kula bata) na malaya wa nje uwawache mkeo na wanao hawali matunda ya kuteseka kwao.
What if Kila mwaka unaweza kusanya 25m out of your expenses.Sasa mil 200 mtu anaweka utt huyo sio mwenzio. Sie bodaboda kiweka mil 25 utt ni counter productive kabisaaa
Umeongea point ya maanaHongera kwa kujibana na kufanya saving. Wekeza
20yrs unaijua vizuri[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]2.5 m kwa muda wa miaka 20,,jumla unakuwa ume make 50 m na hapo hiyo 25 m uliyonunulia hatifungani inarudi kwa hiyo hapo unakuwa umeiua inflation kwa asimilia zaidi ya mia tatu hivi.
Ukitumia pesa Yako kufanyia fujo soon utarudi umasikini.Nimegundua ,kumbe wale wazee unakuta mtu ana miaka 70 anakula bata club,ukute aliweka hela UTT sasa ndio anajipongeza na vibinti vya chuo....
NAKAZIABado haujajisaidia kwa kukabikiza hela benki eti unasave. Hizo ziwewekeze kwenye shughuli inayozalisha ili mtaji ukue.
Kuwekeza ni muhimu sanaUmeongea point ya maana
Sasa kazinywee pombe ustarehe (kula bata) na malaya wa nje uwawache mkeo na wanao hawali matunda ya kuteseka kwao.
Sasa unamlazimisha anunue bondi za serikali 🤣🤣🤣Nimekusoma vizuri sana, ndiyo maana nikakuandikia hivyo.
Huo ndiyo ujinga wa Mwafrika, badala ya kusema nimepata mtaji nikanunuwe bond za serikali (kama hujuwi biashara), wewe unasema unakwenda "kula bata".
Huo ni ujinga usiomithilika.
ila wewe bibi una utindio wa ubongo, sio bureNimekusoma vizuri sana, ndiyo maana nikakuandikia hivyo.
Huo ndiyo ujinga wa Mwafrika, badala ya kusema nimepata mtaji nikanunuwe bond za serikali (kama hujuwi biashara), wewe unasema unakwenda "kula bata".
Huo ni ujinga usiomithilika.
Kwer kutoboa ni ngumu Nini ushauri wako kwa yule mwenye Pato Dogo anawezaje kusave kipato kama ulichonacho Maisha yanapanda kila wakatiMwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance mbalimbali za kukuwesha kusongesha maisha kwa mwezi ukipambana vizuri 300k hukosi mbali na mipigo mingine napo nilikuwa nasevu kwa kila nikipatacho.
Dah utajiri mgumu jamani. Nilianza saving UTT miaka ya nyuma ila kwa mwaka huu nimejizima Data kwa kusevu 1ml + kila mwezi. Ni ngumu sana kwa kipato changu nikipatacho.
-Sijanywa bia yoyote mwaka huu.
-Familia imeishi kigumu sana kwa kipato cha 300k+ kila mwezi. ( Uzuri mke alirudhia na kunitia moyo).
-Nina nyumba ya kuishi.
- Watoto bado wadogo under 7.
- Nimeteseka sana nimeishia kama shetani vile ila nimefanikisha.
FUNZO;
Maisha ni Maumivu, kujitoa na uvumilivu. Kipato cha
mwezi huu na ujao ni full kula Bata kujipooza machungu.
Sana mkuuKuwekeza ni muhimu sana
Hii nimependa sana na imeenda hiyoo,,TUMIA PESA YA PESA YAKOUkitumia pesa Yako kufanyia fujo soon utarudi umasikini.
Ukitumia PESA ya pesa Yako it's ok.
Hongera, kwa huu wakwangu wa 400k ngoja namm nijarbu kukaza fuvu nisave angalau 250k, as long nipo singo naamini ni uhakika kabisa. [emoji1787][emoji120][emoji120][emoji120]Mwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance mbalimbali za kukuwesha kusongesha maisha kwa mwezi ukipambana vizuri 300k hukosi mbali na mipigo mingine napo nilikuwa nasevu kwa kila nikipatacho.
Dah utajiri mgumu jamani. Nilianza saving UTT miaka ya nyuma ila kwa mwaka huu nimejizima Data kwa kusevu 1ml + kila mwezi. Ni ngumu sana kwa kipato changu nikipatacho.
-Sijanywa bia yoyote mwaka huu.
-Familia imeishi kigumu sana kwa kipato cha 300k+ kila mwezi. ( Uzuri mke alirudhia na kunitia moyo).
-Nina nyumba ya kuishi.
- Watoto bado wadogo under 7.
- Nimeteseka sana nimeishia kama shetani vile ila nimefanikisha.
FUNZO;
Maisha ni Maumivu, kujitoa na uvumilivu. Kipato cha
mwezi huu na ujao ni full kula Bata kujipooza machungu.
Binafsi nimeelewa hoja yako. Wanaume wengi tuna huu upuuz wa kuitenga familia kwenye kula mavuno.Nimekusoma vizuri sana, ndiyo maana nikakuandikia hivyo.
Huo ndiyo ujinga wa Mwafrika, badala ya kusema nimepata mtaji nikanunuwe bond za serikali (kama hujuwi biashara), wewe unasema unakwenda "kula bata".
Huo ni ujinga usiomithilika.
Salary slip ya 900k , umewekeza utt amis, ndio uje hapa uchekelee,Amini hivyo