Nimeamini mjini akili tu

Tuliosoma Cuba tunajua ni haramu hiyo, kama ni legal mbona utetezi mwingi wenye wasiwasi ndani yake?
Sio ishu haramu kabisaa
Ni halali
Asee nalipa kodi tra
Nina leseni
Nina ofisi
Tatizo lenu mnaamini kwamba kila ishu ya hela nyingi lazma iwe haramu...sio kabisa.
Manyanza waambie wenzako
 
Na wewe uibiwe nini kwanza jaman?🤣🤣🤣
Maana hata cha kuibiwa huna.
Ndo hvyo hela tunapiga sana tu na kodi tinalipa na leseni zipo

Sina cha kuibiwa, ndo maana huwa hamuolewagi, mnafuata wanaume wa watu, na kufikiro mna uzuri, kumbe wachafu tu na adabu hamna, Mtazeeka mkitembea na wanaume wa watu.
 
Kwa hiyo ukimdaka mjinga mmoja anakulipa mshahara uliokuwa unapata kwa miezi sita kwa mara moja.
Hatuwezi jua labda huyo mzee alikufundisha udaktari kitengo cha upasuaji
 
Ngoja niupige pige kwanza maisha yabadilike ili hata nikikwambia uamini. We ntakwambia ila sio leo...
Daahhh ...udugu wangu mpk ujenge ghorofa sasa
[emoji3526][emoji3526][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Unamsifia wakati hajakueleza anachofanya? Wewe nawe umekuwa mjinga mwingine.
 

Hiyo ya sokoni kununua mahitaji ni idea nzuri sana, ila sasa uangalie maeneo wanayoishi wenye nazo kidogo. Maana huko kwingineko budget ya matumizi tia maji tia maji.
 
Hakuna mchongo wowote hapa zaidi ya "Tuma kwenye namba hii"
 
Mimi nimeeleza uzoefu. Kuwa huwa tukitaka mtapeli mtu tunajihami sana. Tena huwa tunakataa kuwa hatutoi kabisa siri ya ushindi... Na akija mtu tunaweza hata ku mblock ili aje alalamike kuwa hatutaki toa siri. Hii inatufanya tuaminike zaidi ili sasa yule ambaye tuta mset aje aliwe kichwa vizuri
 
Anyways amini vile unaamini.
 
Nakadori mpendwa huna baya, nifungulie code hata kwa uchache. Mchongo eti ni B2B au B2C?
Code siifungui hata mniite majina yote mabaya yaliyoko dunian. Kikubwa I make my living though legal ways ....I don't care backing dogs wanachosema.
Siku zote mbwa anambwekea asiyemfahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…