Capslock
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,089
- 4,816
Tuliosoma Cuba tunajua ni haramu hiyo, kama ni legal mbona utetezi mwingi wenye wasiwasi ndani yake?
Sio ishu haramu kabisaa
Ni halali
Asee nalipa kodi tra
Nina leseni
Nina ofisi
Tatizo lenu mnaamini kwamba kila ishu ya hela nyingi lazma iwe haramu...sio kabisa.
Manyanza waambie wenzako