Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
- Thread starter
- #41
Sio forex wala maana hiyo nlishajaribu nkaona picha picha nkapotezeaMpaka kupata huo ujinga sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we nirahisishie tu niunganishe na Mzee niwe na trade na Mimi nalala hotel ya 15'000 Kwa siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hadi ma book nlinunua ya forex nkajionea ushubwada
Nakwambia nalipa kodi ni ishu halali kabisa
In short nafanya consultation ya mambo flani flan
Manyanza atakuleta ofisini kwangu ila kwa appointment. Sio nikupe mchongo ila uone kwamba nafanya kitu halali