Nimeamini mjini akili tu

Nimeamini mjini akili tu

Wewe nakufahamu ,Acha kufanya dhambi ,ishu unayoifanya ni kuuza WANAWAKE na wanaume wanaofilwa.et unajinasibu Una akiri ..... Mbona hausemi siku ya kwanza Jamaa alikupiga shoo Kwa shi ngapi
 
... Kwani watu wa stationery wanafanya nini? Hadi kuangalia salary slip ya mwalimu wanachaji buku 3 na wapo Town wana hela kwa kutumia ujinga wa watanzania wakiwemo walimu. So jiongeze
Code iyo hapo na mkimfuata pm mna ujinga.

Hicho alichoandika hapo ndicho hasa anamaanisha, hata mimi kama hamjaelewa msinifuate PM, ukija PM njoo na wekundu 2!.
 
Code iyo hapo na mkimfuta pm mna ujinga.

Hicho alichoandika hapo ndicho hasa anamaanisha, hata mimi kama hamjaelewa msinifuate PM, ukija PM njoo na wekundu 2!.
Hiyo ni mojawapo
Ila me sifanyi hiyo mwaya
Japo badae naweza kufungua goli la ishu hizo pia maana mchongo wangu naweza kuufanyia stationery pia kwa kupanua ofisi kwa kusogeza huduma karibu na wateja
 
Back
Top Bottom