Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Weka mambo yote PM wewe ili na sisi tuwapige wajinga. Maisha yameshakuwa tight mtaani.We jiongeze tu fursa hazijaisha....
Mchongo unataka uwe sharp kichwan kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka mambo yote PM wewe ili na sisi tuwapige wajinga. Maisha yameshakuwa tight mtaani.We jiongeze tu fursa hazijaisha....
Mchongo unataka uwe sharp kichwan kidogo
Hahqhqhq watu kama nyie hamkosekanWewe nakufahamu ,Acha kufanya dhambi ,ishu unayoifanya ni kuuza WANAWAKE na wanaume wanaofilwa.et unajinasibu Una akiri ..... Mbona hausemi siku ya kwanza Jamaa alikupiga shoo Kwa shi ngapi
Unakunywa nini?Hahaha
Biere me sio mywaj
Code iyo hapo na mkimfuata pm mna ujinga.... Kwani watu wa stationery wanafanya nini? Hadi kuangalia salary slip ya mwalimu wanachaji buku 3 na wapo Town wana hela kwa kutumia ujinga wa watanzania wakiwemo walimu. So jiongeze
Itabidi hayo maji yachanganyweMaji ya hill tu
Hiyo ni mojawapoCode iyo hapo na mkimfuta pm mna ujinga.
Hicho alichoandika hapo ndicho hasa anamaanisha, hata mimi kama hamjaelewa msinifuate PM, ukija PM njoo na wekundu 2!.
Vitu vya amsha amsha itabidi vitumike,ili uwe huru katika kunipa fursaNa nn maana kingine situmii