Nimeamini USA ni kubwa la Dunia, Tamko la Trump tayari limeonyesha effect kwenye familia Yangu

Mkuu bado watu wengi hawatambui ukweli huo! Nimewahi kuandika humu, kuchimbiwa mashimo ya choo niaibu kubwa mno! Hata kuletewa Condoms tu! inasikitisha!
 

Sio wewe...angalia Kenya:

 
Duuuh! kama ni mwanaume, punguza wivu kwa mkeo,wabaya wako waliokua wanaktamani mkeo,watamnyoosha kinomanoma.Pole sana,ji-adjust mapema kuokoa familia.
Teacher vp ushapata ajira hizi za juzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…