Nimeamini USA ni kubwa la Dunia, Tamko la Trump tayari limeonyesha effect kwenye familia Yangu

Nimeamini USA ni kubwa la Dunia, Tamko la Trump tayari limeonyesha effect kwenye familia Yangu

Hakuna cha ukubwa wowote

Sio wewe staff wengi wa hayo mashirika wamekuwa jobless sehemu mbalimbali duniani

Ni kwamba Marekani ina hali ngumu programu nyingi za kutoa misaada zinafungwa


Screenshot_20250131-164002_Chrome.jpg
 
Kila baada ya siku 100 kwa wastani Marekani inatengeneza deni la $1 trillion

Unafikiri wataweza kweli kutoa misaada na kwa sasa deni la taifa limefikia $36 trillion?

Subirini mpaka baada ya hizo siku 90 muone
 
Hivi ni kweli hizi program zimeanza kuathurika au ni story za humu mitandaoni?
 
Nadhani ni wakati wangu kuanza kuajiri vibarua mashambani mwangu si mda nitaanza kuvuna watu humu humu JF wa kwanza akiwa mleta mada
Ukipata wengi nipe na mimi nataka km kumi hivi wanisaidie kung’olea mpunga..!! 😹
 
Hali ni mbaya kulia na kusaga meno tayari vimeanza.

Mimi ni mtumishi mwandamizi wa shirika X linajihusisha na huduma za CTC, aisee moja haikai mbili haikai tumeanza kupewa notice, familia zetu zitaishije jamani, shirika linna step down!


Trump ni shetani kabisa

Tuachage kuwaida watu mabeberu
 
Hawa ng'ombe unaweza kugusia kidogo
Sie unapata mradi wa Mana ujenzi unafanyika unakuta contract ni 1-4 yrs muda huo mnaishi Maisha mazuri kinyama , sema mradi unaisha unakabidhi adi taulo ulilopewa unatumia unarudi unakaa home, Tena unaibuka mradi wa Mana Tena unapiga hela, trump anaangalia hela za walipa Kodi wa USA zitumike vizuri.
Weka ng'ombe wa maziwa hapo home ambaye anatoa 30-45lt per day wapo Kenya wanauza like 6M plus za kitanzania Maisha yakasogea usiogope.

Pia future is uncertainty none knows it only God.
Wewe umesimamishwa kazi unaitukana dunia. Kuna wenzako wamelala hospital mwaka wa pili huu hapa,
Wapo wanakula chakula kupitia puani.
Maandiko yanasema shukuru kwa Kila jambo , unakuta hapo utapata kazi ya Mana mpaka Tena ushukuru Muumbaji kuwa ni Bora trump aliingia , unaweza unashangaa unaanzisha biashara inaenda mbali mno unakuja kuwa tajiri mkubwa mno Mana utaanza Kama zali ama kuwa na mahala pa kuzuga yaani jiwe la pembeni likageuka kuwa jiwe juu la ujenzi
 
🎶Che che che! Unapenda vitu vya cheee! Unapenda dezodezo. We bwana eeh! Yatakushindaa...

Che che che! Maisha yako dezodezo.

Tshala Muana.
🎼 che che che che kodi ya nyumba hulipii, maisha yako unapenda dezoo..

🎼 wewe mtoto wa kikee acha umbea mbea...
 
uhuru kenyatta kuna ujumbe amezungumza una maana sana kwa mataifa yetu tegemezi..
 
🎶Che che che! Unapenda vitu vya cheee! Unapenda dezodezo. We bwana eeh! Yatakushindaa...

Che che che! Maisha yako dezodezo.

Tshala Muana.
Che Che Che! Unataka vya cheee!

Maisha yako dezodezo

we bwana eeeh yatakuchocha,

Kodii ya hulipi

Maji yameshakatwa aah

Bado umeme inakuja..... very nostalgic....

Umetisha mkuu 👊
 
Hali ni mbaya kulia na kusaga meno tayari vimeanza.

Mimi ni mtumishi mwandamizi wa shirika X linajihusisha na huduma za CTC, aisee moja haikai mbili haikai tumeanza kupewa notice, familia zetu zitaishije jamani, shirika linna step down!


Trump ni shetani kabisa
Mungu ni mwema , chukua mafao Yako utafanya mishe zingine
 
Nina mwanangu alikuwa kwenye mradi anavuna milioni 5 kwa mwei, mradi ukaisha hata hela ya gesi, hela ya vitu vidogo, msosi wa mtoto ikawa mbinde, nilimpa sana kampani kipindi hiki, kapata kazi tena kasahau kila kitu 😂🤣
Unanitangaza sio?
 
Back
Top Bottom