Nimeamini wake za watu wanaliwa sana misibani. Amini hili kwa 100%

Umeyakanyaga subiri baada ya miezi mitatu kapime afya
 
Hiyo ni count offensive line , sasa kama amekuunga kwa mtandao utakula kwako,

Mimi ni Bora niamua kula kavu ILA nikiona mwanamke ndio ananishawish ***** navaa ndomuu[emoji359]
 
Huyu Malaya atakutumia message ikisema 'you don't know what you have got until you say goodbye'!
 
Wabongo huwa sio wazuri sana kwenye kufikiri na kuchambua mambo Mkuu.
 
Mikoa ya kanda ya ziwa uaminifu zero. Hasa huo mkoa tajwa
 
Huko mliko dawa huwa zinauzwa gengeni kabila la wagunya bana mna vituko sana
 
Wadada weupe warefu wenye tako wataandamwa na wapenzi wao wiki hii kisa uzi wa JF.
 
Ulichofanya ni kutengeneza msiba mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…