Nimeamini wanaume hawaaminiki

Wewe ndi umemtia majaribuni mzee wa watu.
 
Acha kujipeleka kwenye hiyo nyumba, tafuta watoto wenzio uwe unacheza nao.

Umeshaambiwa age is nothing but a number, hakuna mbaba wala mmama kwenye mapenzi.
Nitatulia nyumbani
 
Yy mwenyewe mpk leo kashindwa kurejesha penzi lake ndio ataweza ya wadogo zake huku 🤣🤣🤣🤣
Mimi bado nna hasira na yule mganga aliyetupeleka, aje atubadilishie kilinge kingine
Kwani huba la dada na yule mubaba wake lilikufa?????
 
Acha kujipeleka kwenye hiyo nyumba, tafuta watoto wenzio uwe unacheza nao.

Umeshaambiwa age is nothing but a number, hakuna mbaba wala mmama kwenye mapenzi.
Na kawaida Binti akiwa kigoli anakuwa anawaka balaa, Mwanaume usipokuwa makini unaingia majaribuni hivi hivi 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…