Nimeamini wanaume hawaaminiki

Nimeamini wanaume hawaaminiki

Akasema 'basi naomba namba yako siku yoyote naweza kukupigia tukutane sehemu X, huwa unanivutia sana nahitaji tuongee zaidi' nikamjibu sina simu
Mwishowe utamtunuku mzigo baba Cathe vizuri tu.

Ni kawaida vibinti vidogo kujibu hivyo mwanzoni. Baada ya muda utaanza kumuelewa na utampea tuu.
 
Wifi ni kweli mwanaume kuna vitu akiviangalia anajua huyu anatongozeka au anaingilika.
Wanaume waje waseme hapa km nadanganya, kuna mwanamke wa kumla siku moja na mwingine wa kupewa muda na mwingine haingiliki kabisa. Wote hao wanawafahamu.

Sasa turudi kwenye viashiria vinavyompa mwanaume go ahead ya kumtaka mwanamke kwanza,
1. Macho- hiki ndio kitu cha kwanza kinachompa mwanaume uhakika wa kumpata au kumtongoza mwanamke haijalishi km atakubaliwa au lah! Ila ana asilimia nyingi za kukubaliwa. Hapo jicho litalegezwa na KE kujifanya anaona aibu.

2.Midomo- hii nayo inatoa ishara ya mwanamke kumpa taarifa kwamba unaweza kunitongoza tu ww endelea. Utaona ataanza kujichekesha na kujiongelesha kwa sauti ya mama manunu ( sepenga)

3.Body language- Hapa utaona mwanamke kuna viungo atavichezesha na men atajua huyu anaingilika. Anakuwa hana utulivu mara ajinyonge au km ana wowowo basi atalilegeza ili kumvutia. Wengine wanang’ata kucha kujifanya wana aibu wkt chama la wana 😂😂😂

Tuje kwa hawa ndugu zetu hawa wa JF

Hawa wakimnyapia mwanaume wako ujue wanataka maokoto hawana jipya. Wao huwa wanajifanya kuwasifia kila wakiwaona mnabebishana nao wanaweka vikoment vya kujimwambafai, na ukiona wanaita sana shemeji ujue kuna kitu. Halafu ni mabingwa wa kuzama piemu sema wanaume wana vifua hawasemi mpk wapige muhuri kwanza 🤣🤣🤣🤣

Comment yangu mwenye uchungu asiguse siko vzr leo pls
😂😂😂😂
samaleko wifi yangu, tchaaah'..!🙌
tunaomba uwe kungwi kwa wakaskazini siye, mambo kumbe huko duniani ni makubwa mno..!

Nirudi unyagoni walaqhi', sema hapo pa 'macalio' nimewaza zile shape zetu nikasema eeh' Jehovah Shama tuhurumie, tutatingisha nini sisi wa huko 'mlimani', basi bhaana hadithi yetu itakuwa imeishia hapo..!!
 
Back
Top Bottom