Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Wala usijali maana machozi ya furaha utayaona siku hiyo yakitoka yenyewe utafikiri umepakwa pilipili kichaa usoni.Sijawahi kububujikwa na machozi ya furaha nasubiri hiyo siku๐
Hatumtetei kweni ataondoka nayo?Bora wewe umenifariji
Hawa wengine wanamtetea Baba Cathe๐
Itakuwa ni kamoooo baba catheeey. Maskini mzee wa watu. Sidhani kama atatoboa.Nimefunga mahojiano! Unanichosha
Yaani magumu mno kama miwa ya kiangazi mdogo wangu๐Hili penzi hivi week lilifikisha kweli?? ๐๐๐
Mahusiano ya humu ni magumu sana!!
Mkuu, wanaume tunapewa sababu ya kutongoza, huwa hatukurupuki.Eti alikuwa anaaga "sheeeeeeem usiku mwema"Ulikuwepo?๐
sasa hivi utaingia mtegoniBora wewe umenifariji
Hawa wengine wanamtetea Baba Cathe๐
Mimi nilichojifunza hapa ni kwamba ephen ana bonge la chura๐Mimi nipo mbele yeye nyuma hapo natembea chap niumalize uchochoro akawa anaongea maneno ambayo siwezi kuyaandika hapa.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐Hatari hiiiMm kumdinya mwanamke mwngn haimanishi simpendi mke wangu
Mi ndiomana siyataki unajua uko peke yako kumbe mmepangwa piemu ๐๐๐๐Yaani magumu mno kama miwa ya kiangazi mdogo wangu๐
Labda uache kuonana naye kabisa, hata hapo kwake usiende. Kinyume na hapo kuna siku tu neno sikutegemea litatumika tena kama ambavyo hukutegemea kukutana naye uchochoroni.Siwezi kuingia
Hapo sasa akiwa anaondoka kwa baba cathe unadhani halitatikisika? Unadhani baba cathe hataona mtikisiko? Utamlaumu baba cathe?Mimi nilichojifunza hapa ni kwamba ephen ana bonge la chura๐
Chura mkubwa mwenye madoa doa๐๐Niombe msamaha!
Kaka namuonea wivu baba catheHapo sasa akiwa anaondoka kwa baba cathe unadhani halitatikisika? Unadhani baba cathe hataona mtikisiko? Utamlaumu baba cathe?