Nimeamini wanaume hawaaminiki

Mwanamke akipenda kweli kweli acheat lakini sio mwanaume hawajaumbwa hivyo Yani hayo sio maumbile
Hata kuokoka nayo haisadii ni mtu tu mwenyewe kuamua moyoni mwake na kukataa zinaa
 
U mtu mzima sasa. Huwezi kumkaushia hadi umwanike??
 
U mtu mzima sasa. Huwezi kumkaushia hadi umwanike??
Unamjua baba Cathe?
Nikisema lete id yake ya hapa jf utanipa? Au nikisema kaniletee picha yake unayo?

Eid Mubarak...!
 
Mwanamke akipenda kweli kweli acheat lakini sio mwanaume hawajaumbwa hivyo Yani hayo sio maumbile

Hata kuokoka nayo haisadii ni mtu tu mwenyewe kuamua moyoni mwake na kukataa zinaa
ukiokoka, ukajazwa Roho Mtakatifu, hata kusikia tu neno uzinzi, unahisi kama umesikia neno kinyesi vile. hapo ndipo utajua kuwa Nguvu ya Mungu ikiwa ndani yetu ndipo tunakuwa na uwezo kushinda dhambi bila hiyo hata ukiwa mlokole kimbia wanawake ukikaa nao karibu utazini nao tu. maana ya kuokoka ni kusamehewa dhambi na kukombolewa toka kwenye utumwa wa dhambi na utumwa wa vingine vyote. unapokombolewa toka kwenye dhambi mfano ya uzinzi iliyokufanya mtumwa wa kufanya uzinzi bila kujizuia, ni hatua kubwa mno ambayo Mungu ameiweka kwa ajili yetu. bila hivyo huwezi kushinda dhambi yeyote. hata petro kabla ya kujazwa Roho Mtakatifu aliapa kwamba hatamsaliti Yesu, ila baada ya siku ya pentecost alikuwa tayari hadi kufa hakumsaliti na alishafungwa gerezani mara nyingi kwasababu ya injili ya Yesu, wakati awali siku aliposulibiwa alikana kabisa kwamba yeye hahusiani na Yesu, wasimfananishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…