Nimeamini wanaume hawaaminiki

Huwa siendi mara kwa mara, na nikiebda tunakaa kibarazani kama mume wake atakua amerudi wao wanaenda ndani mimi nakua busy na simu.
 
Huko kwenu wale kuku mnaofuga, majike wapo wangapi kwa jogoo mmoja?
 
kumbe kuna watu mna dunia yenu. sasa wewe uliambiwa wapi kuwa wanaokumbatiana na kulishana hawacheat.
binadamu wote ni sawa na afrika ni moja 😆 😆 😆
badilika ,acha utoto
 
Mwanamke mwenye hekima huwa hashangai mumewe akimcheat ndivyo tulivyo haturidhiki na K moja

Mfano mzuri ni aliyekuwa raisi wa Marekani Bill Clinton kwa miaka 2 alikuwa akimcheat mkewe Hillary Clinton kwa kutoka na secretary wake.

Na mkewe Hillary alijua lakini hakwenda mahakamani kudai talaka kwa sababu alijua ndivyo tulivyo mpaka leo ndoa yao inatimiza miaka 49

Uzuri ni kwamba wanaume tunacheat with no emotions ni tamaa tu ndio maana tukishamwaga tamaa zinaisha ila upendo wetu kwa wake zetu unabaki palepale

Men are polygamous by nature
 
Mama Cathe ni mtu naelewana nae hata mama angu ni rwfiki yake mkubwa
Sema Mumewe ndo anataka kuleta mambo ya kiwaki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…