Nimeamini wanaume hawaaminiki

Kama Luca anafaidi kwanini na Baba Cathe asifaidi[emoji23][emoji23]
 
Nitongozwe na vijana walio single, ambao hawajaoa!
Hapana Wacha wote wakutongoze maana wewe ni ke haijalishi ndoa sio Pete ndoa ni kitandani kama umewahi kuwa na mahusiano elewa ndio idadi ya ndoa ulizonazo
 
Hapana Wacha wote wakutongoze maana wewe ni ke haijalishi ndoa sio Pete ndoa ni kitandani kama umewahi kuwa na mahusiano elewa ndio idadi ya ndoa ulizonazo
Sawa! Muhimu ujifunze kutokana na bandiko langu kua 'tulia na mkeo, kama utataka mchepuko katafute mbali huko'
 
Dear ephen, hao wanaume 'wote' umewahi ku 'cheat' nao?

Dont generalise my dear wengine wanazeeka na bikra zao huko JAPAN
 
Dear ephen, hao wanaume 'wote' umewahi ku 'cheat' nao?

Dont generalise my dear wengine wanazeeka na bikra zao huko JAPAN
Japan sawa! Ngozi nyeupe sanasana wazungu ni waaminifu sanaaaaaaa

Shida ni hii ngozi nyeusi! Uaminifu 0%
Mnacheat wake zenu kwa kisingizio cha nature wakati mnajiendekeza
 
Japan sawa! Ngozi nyeupe sanasana wazungu ni waaminifu sanaaaaaaa

Shida ni hii ngozi nyeusi! Uaminifu 0%
Mnacheat wake zenu kwa kisingizio cha nature wakati mnajiendekeza
Mbona unatukamia hivo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wengine ndo tupo kwa process za kuoa hapa sasa unavyoendelea naona kabisa kuna mtu atanikataa hapa πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Kujiendekezaje unadhani kufanya ngono ni kazi ndogo, tena na ke tofauti tofauti iyo ni shughuli kama "shughuli"
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚umenivunja mbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…