Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
πππππ,,,ana kazi uyo utaemtongoza apate tu moyo mkuu na asiwepo jfMi nikikataliwa naandika uzi kabisa humu...
Yaani ni kukuponda tuu mpaka ujute πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππ,,,ana kazi uyo utaemtongoza apate tu moyo mkuu na asiwepo jfMi nikikataliwa naandika uzi kabisa humu...
Yaani ni kukuponda tuu mpaka ujute πππππ
Wee dada unawaza kwamba nikuzungusha kiuno tuu eti! Kazi ya kiumbe me ni kuridhisha kiumbe ke Sasa wewe uyo Mzee anataka akuridhishe unamwambia simu huna Wakati unachart nayo huku jf au ni laptop iyoπππumenivunja mbavu
Sema mi naaminika et πππππππππ,,,ana kazi uyo utaemtongoza apate tu moyo mkuu na asiwepo jf
Rudi kwenye mstari usijisahau!Wee dada unawaza kwamba nikuzungusha kiuno tuu eti! Kazi ya kiumbe me ni kuridhisha kiumbe ke Sasa wewe uyo Mzee anataka akuridhishe unamwambia simu huna Wakati unachart nayo huku jf au ni laptop iyo
Sasa mbona unamsema uliowakubalia mbona hujawafungulia UziRudi kwenye mstari usijisahau!
Sio kila mwanaume niwe nae
Sio kila mwanamke uwe nae
Sijachukia, ila sipendi hiyo tabia.Usichukie mambo madogo haya
Kutongoza ni tabia ya all males, yaani hata beberu anatongoza kwa namna yake, na hatongozi mbuzi mmoja tu, sembuse binadamu..nasema hivi, tunatongoza tu..baba cathe ajipange upya aje kivingine au la atafute kwingine, mama cathe peke yake hatoshiπ€£Nakubali kua wote wana tamaa lakini kutongoza hovyo hadi majirani zako ni kujiendekeza na kukosa akili timamu
Kwa hii style ya kuhudhuria kwa baba Cathe atamla kichwaKutongoza ni tabia ya all males, yaani hata beberu anatongoza kwa namna yake, na hatongozi mbuzi mmoja tu, sembuse binadamu..nasema hivi, tunatongoza tu..baba cathe ajipange upya aje kivingine au la atafute kwingine, mama cathe peke yake hatoshiπ€£
Aisee! Wanaume wa kizungu wapo busy kugundua sayansi na teknolojia mpyaKutongoza ni tabia ya all males, yaani hata beberu anatongoza kwa namna yake, na hatongozi mbuzi mmoja tu, sembuse binadamu..nasema hivi, tunatongoza tu..baba cathe ajipange upya aje kivingine au la atafute kwingine, mama cathe peke yake hatoshiπ€£
Comments reservedHabari!
Nimekutana na mkasa ambao umenifanya niamini wanaume sio watu wa kuwaamini 100%
Mimi ni mtu ambae muda mwingi najifungia ndani, lakini ikitokea nimekua mpweke sana huwa napendelea kwenda kwa jirani mwenye nyumba inayofuata baada ya kwetu.
Tumeshakua ni washkaji japo yeye ni mtu mzima kiasi, ana mume na watoto watano. Ila mimi na yeye tunaongea lugha moja. Mshkaji wangu namwita Mama Cathe. Anapendana sana na mume wake familia yao ni bora yenye upendo, kuwaona wamekumbatiana na mume wake ni jambo la kawaida sana.
Nipo karibu nae nimejua baadhi ya mambo, mume wake huwa anarudi kila siku mchana kula, mama Cathe huwa anamsubiri mchana ili wale wote saa 9.
Kwa jinsi wanavyopendana usiku wanaweka msosi nje wanakula mume, mke na watoto kulishana ni jambo la kawaida. Siku zote ninavyowachora mume anampenda sana mkewe, nilikua naona hawezi hata kumsaliti, hata michepuko haijui. Nilikua naamini kuna wanaume ni waaminifu na huyu Baba Cathe nilimuweka kundi hilo kwa jinsi wanavyoishi.
Juzi asubuhi mama kanituma nikanunue mahitaji, natembea zangu kwenye uchochoro mpana nikasikia mtu ameniita 'Ephen!' nikageuka nyuma. Nakutana na Baba Cathe akaniambia 'Nilikuona wakati unatoka nikasema nikufate sababu kila siku navizia nafasi ya kuongea na wewe lakini siipati, kwani unaenda wapi?'
Mpaka hapo nikawa nimeshangaa sikutegemea hii kauli kutoka kwake, hapo anaongea kimahaba
Huyu mzee nilikua namuheshimu sana....Nikamwambia naelekea dukani.
Akasema 'basi naomba namba yako siku yoyote naweza kukupigia tukutane sehemu X, huwa unanivutia sana nahitaji tuongee zaidi' nikamjibu sina simu
Alarm ikalia kichwani kwangu kua ule uchochoro yeyote anaweza kutokea ikawa kesi, sikumjibu nikageuka nikaendelea na safari yangu. Mimi nipo mbele yeye nyuma hapo natembea chap niumalize uchochoro akawa anaongea maneno ambayo siwezi kuyaandika hapa.
Nikamaliza uchochoro na yeye nahisi huku nyuma aligeuza, muda wote nikawa najiuliza huyu mzee kapatwa na nini?
Kilichonishtua ni jana nimekaa kibarazani na mkewe mida ya mchana, karudi mke wake akasimama kumkumbatia, huyu mzee akanikonyeza. Namuona anakuja kwa kasi!
Wanaume wote kumbe wanacheat.....!
Nani kasema wazungu waaminifu? Wanacheat sana kama sisi tu, tofauti yao na sisi nikuwa ni wakweli, pale hisia zinapopungua wanakuja straight "ephen mimi sikupendi tena, naona tuachane". Ila kibongobongo nakuweka, namuweka yule na wote nawaaminisha kuwa nawapenda sana.Japan sawa! Ngozi nyeupe sanasana wazungu ni waaminifu sanaaaaaaa
Shida ni hii ngozi nyeusi! Uaminifu 0%
Mnacheat wake zenu kwa kisingizio cha nature wakati mnajiendekeza
Wewe dada umetuanzishia Uzi mwenyewe ulitaka wazungu waje wakomentiAisee! Wanaume wa kizungu wapo busy kugundua sayansi na teknolojia mpya
Nyie mpo busy kuwaza ngono?
Kutulia mnaweza ila mnajiendekeza, wanawake wa zamani walikua waaminifu kwa waume zao hilo ndilo lilifanya mkajiona nyie ndo mnatamani nje kuzidi sisi lakini ukweli ni kwamba hata sisi tunavutiwa na vijana huko nje sema tunajizuia!!!
Kudhibitisha hilo, unaona wanawake walivyocharuka siku hizi? Na sisi tunaruka na tunaowatamani yaani kama ni match basi FT ni GG
Imani yangu ilikua kwa baadhi ya wanaume waliooa ambao nimekua nikiwaona ni wastaarabu na waaminifu kwa wake zao akiwepo baba Cathe kwa kilichotokea kumbe na yeye ni walewaleNimeamini wanaume hawaaminiki.....
Mpe tuu hata mara Moja plzzzLabda sio baba Cathe ninayemjua mimi ila kama ni huyu hapa hapati kitu!
Basi msitukate mapanga kama Jose kaeni muenjoy showNani kasema wazungu waaminifu? Wanacheat sana kama sisi tu, tofauti yao na sisi nikuwa ni wakweli, pale hisia zinapopungua wanakuja straight "ephen mimi sikupendi tena, naona tuachane". Ila kibongobongo nakuweka, namuweka yule na wote nawaaminisha kuwa nawapenda sana.
Hizi nadharia zako mbili wala hazina ukweli, wazingu no cheaters kama sisi tu, wanawake wa zamani walikuwa cheaters tu kama wa leo, tofauti ni uwazi uliopo sasa na koromeo walilopewa babu zetu kudeal na infidelity za bibi zetu.Aisee! Wanaume wa kizungu wapo busy kugundua sayansi na teknolojia mpya
Nyie mpo busy kuwaza ngono?
Kutulia mnaweza ila mnajiendekeza, wanawake wa zamani walikua waaminifu kwa waume zao hilo ndilo lilifanya mkajiona nyie ndo mnatamani nje kuzidi sisi lakini ukweli ni kwamba hata sisi tunavutiwa na vijana huko nje sema tunajizuia!!!
Kudhibitisha hilo, unaona wanawake walivyocharuka siku hizi? Na sisi tunaruka na tunaowatamani yaani kama ni match basi FT ni GG
Kwahiyo tukubaliane kua binadamu bila kujali jinsia wote hawaridhiki na mtu mmoja,Kasoro wanaume wao wanajiendekeza!Hizi nadharia zako mbili wala hazina ukweli, wazingu no cheaters kama sisi tu, wanawake wa zamani walikuwa cheaters tu kama wa leo, tofauti ni uwazi uliopo sasa na koromeo walilopewa babu zetu kudeal na infidelity za bibi zetu.