ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Umesema? Hujasikia me anaweza kuwaweka hata watatu kwa siku, na wote wakatoka na shibe!Na nyie hamna maumbile ya kuhudumia wanawake wawili ndio maana mmepewa fimbo 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema? Hujasikia me anaweza kuwaweka hata watatu kwa siku, na wote wakatoka na shibe!Na nyie hamna maumbile ya kuhudumia wanawake wawili ndio maana mmepewa fimbo 1
Yaani sijui niwekaje hiiSafi, swali fikirishi je best wako akikuuliza mbona huendi kumtembelea utamwambiaje
😂Muache lucas wa watu!Tuna cheat Sana tuu SEMA viwango vya ku cheat vinapishana wengine wanatumia Sana akili ku cheat wengine Wana cheat mpk too much..
All in all msondo ngoma waliimba Chini ya TX MOSHI WILLIAM wanaume tumeumbwa mateso..mateso kuangaika
Swali la kizushi
Ephen ivi hata Lucas humuamini EEEE😊😊😊
😂Dah! Kwahiyo mwanaume anayetulia hamna hata mmoja? Subiri niendelee kutafuta atakayetuliaUmeshasema mchumba, ukiingia huko utampa pressure na it's a fact atakula kidogo nje, awe na nidhamu, ale na kunawa mikono na mdomo ili usijue🤣
Mimi sio tu ningekusimamisha ningekuhug shemeji yangu mpendwa 😍Wewe ndo walewale
na umefunga PM kwa sababu yanguJapan sawa! Ngozi nyeupe sanasana wazungu ni waaminifu sanaaaaaaa
Shida ni hii ngozi nyeusi! Uaminifu 0%
Mnacheat wake zenu kwa kisingizio cha nature wakati mnajiendekeza
Ukweli ndio huo. Ukija kupata mume mtulivu asiye na elements za cheating una bahati sana!!Unanisikitisha unavyosupport😔
Unatishika nini, mahusiano ya sasa ni magumu, sio ndoa tu..hata huko mliko hakuna utulivu, vijana wanasalitiana kila siku na tunaona, unadhani ndoa ndio inatuliza watu? Kama mahusiano tu watu wanashindwa kuwa wakweli, unadhani ndoa ni kitu gani hasa kiwatulize watu.Unanitisha😥
Unanifokea😔Unatishika nini, mahusiano ya sasa ni magumu, sio ndoa tu..hata huko mliko hakuna utulivu, vijana wanasalitiana kila siku na tunaona, unadhani ndoa ndio inatuliza watu? Kama mahusiano tu watu wanashindwa kuwa wakweli, unadhani ndoa ni kitu gani hasa kiwatulize watu.
Eeh mimi baba yako, nikiona unazingua nakufokea tu.Unanifokea😔
bas nifungulie kwa leo infact mimi niko plain😌😌Nikiwa muangalifu siwezi kuzalia kwetu
Mume wa mtu pm kwangu uje kufanyaje