Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Hata macho sipepesi. Nasubiria majibu 😅😂😂
keti hapa nami mpaka mwisho wa kipindi hiki mtumishi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata macho sipepesi. Nasubiria majibu 😅😂😂
keti hapa nami mpaka mwisho wa kipindi hiki mtumishi,
40s ndo unamuita mzeeItakua 40's
Yule ni neighbour tu, why nicheat wakati napewa Kila ninachotaka? 😅😅Hujawahi kucheat? Hadi unalalamika?
Yule anayekuitaga neighbour ni nani yako au kisa sijawahi kukuuliza? Mfwiiiiiii😂
kwani una umri gani 😆 😆Akiendelea nitamwambia mama
Kabisa 😂😂😂Hii ni kawaida na ndio asili , sio kwamba baba cate hampendi mkewe no,kuna mda kichwa cha chini kinafanya maamuzi yake binafsi bila kushirikisha cha juu.
Basi ni ishara gani unazompaga? Yawezekana huwa unang'ata vidole pindi akiwa anamkumbatia Mama Cathe, hivyo akajiongeza labda na wewe unataka 😅😅Sina mazoea nae zaidi ya salamu
Simkaziagi macho mimi
Simpi ishara zozote! zaidi ya 5 years tupo hapa nakua ananiona halafu leo anaanza harakati. Nimemdharau sanaBasi ni ishara gani unazompaga? Yawezekana huwa unang'ata vidole pindi akiwa anamkumbatia Mama Cathe, hivyo akajiongeza labda na wewe unataka 😅😅
Wifi ni kweli mwanaume kuna vitu akiviangalia anajua huyu anatongozeka au anaingilika.Wifi,
Naomba kufahamu hivyo 'viashiria', isije kuwa tunayakanyaga hata humu jeiefu..!!
Yaani ni shida
Umemualewa vibaya, labda anataka akutafutie matirio. Siunasoma wewe? 😅😊Simpi ishara zozote! zaidi ya 5 years tupo hapa nakua ananiona halafu leo anaanza harakati. Nimemdharau sana
Bff mbona umeandika kwa uchungu hii essay kama ya yule mke wa ulisi🤣🤣Wifi ni kweli mwanaume kuna vitu akiviangalia anajua huyu anatongozeka au anaingilika.
Wanaume waje waseme hapa km nadanganya, kuna mwanamke wa kumla siku moja na mwingine wa kupewa muda na mwingine haingiliki kabisa. Wote hao wanawafahamu.
Sasa turudi kwenye viashiria vinavyompa mwanaume go ahead ya kumtaka mwanamke kwanza,
1. Macho- hiki ndio kitu cha kwanza kinachompa mwanaume uhakika wa kumpata au kumtongoza mwanamke haijalishi km atakubaliwa au lah! Ila ana asilimia nyingi za kukubaliwa. Hapo jicho litalegezwa na KE kujifanya anaona aibu.
2.Midomo- hii nayo inatoa ishara ya mwanamke kumpa taarifa kwamba unaweza kunitongoza tu ww endelea. Utaona ataanza kujichekesha na kujiongelesha kwa sauti ya mama manunu ( sepenga)
3.Body language- Hapa utaona mwanamke kuna viungo atavichezesha na men atajua huyu anaingilika. Anakuwa hana utulivu mara ajinyonge au km ana wowowo basi atalilegeza ili kumvutia. Wengine wanang’ata kucha kujifanya wana aibu wkt chama la wana 😂😂😂
Tuje kwa hawa ndugu zetu hawa wa JF
Hawa wakimnyapia mwanaume wako ujue wanataka maokoto hawana jipya. Wao huwa wanajifanya kuwasifia kila wakiwaona mnabebishana nao wanaweka vikoment vya kujimwambafai, na ukiona wanaita sana shemeji ujue kuna kitu. Halafu ni mabingwa wa kuzama piemu sema wanaume wana vifua hawasemi mpk wapige muhuri kwanza 🤣🤣🤣🤣
Comment yangu mwenye uchungu asiguse siko vzr leo pls
Tayari 🤣🤣🤣Ukitajiwa hivyo viashiria naomba unitag nivijue
Hebu tuanze na wewe. Kati ya hizo, ni ishara ipi/zipi unapendelea kuzitumia mara kwa mara?Wifi ni kweli mwanaume kuna vitu akiviangalia anajua huyu anatongozeka au anaingilika.
Wanaume waje waseme hapa km nadanganya, kuna mwanamke wa kumla siku moja na mwingine wa kupewa muda na mwingine haingiliki kabisa. Wote hao wanawafahamu.
Sasa turudi kwenye viashiria vinavyompa mwanaume go ahead ya kumtaka mwanamke kwanza,
1. Macho- hiki ndio kitu cha kwanza kinachompa mwanaume uhakika wa kumpata au kumtongoza mwanamke haijalishi km atakubaliwa au lah! Ila ana asilimia nyingi za kukubaliwa. Hapo jicho litalegezwa na KE kujifanya anaona aibu.
2.Midomo- hii nayo inatoa ishara ya mwanamke kumpa taarifa kwamba unaweza kunitongoza tu ww endelea. Utaona ataanza kujichekesha na kujiongelesha kwa sauti ya mama manunu ( sepenga)
3.Body language- Hapa utaona mwanamke kuna viungo atavichezesha na men atajua huyu anaingilika. Anakuwa hana utulivu mara ajinyonge au km ana wowowo basi atalilegeza ili kumvutia. Wengine wanang’ata kucha kujifanya wana aibu wkt chama la wana 😂😂😂
Tuje kwa hawa ndugu zetu hawa wa JF
Hawa wakimnyapia mwanaume wako ujue wanataka maokoto hawana jipya. Wao huwa wanajifanya kuwasifia kila wakiwaona mnabebishana nao wanaweka vikoment vya kujimwambafai, na ukiona wanaita sana shemeji ujue kuna kitu. Halafu ni mabingwa wa kuzama piemu sema wanaume wana vifua hawasemi mpk wapige muhuri kwanza 🤣🤣🤣🤣
Comment yangu mwenye uchungu asiguse siko vzr leo pls
🤣🤣🤣🤣 bff kwanza ulikuwa wapi nakutafuta sikuoni best yangu…!!Bff mbona umeandika kwa uchungu hii essay kama ya yule mke wa ulisi🤣🤣
Nipo bff wangu....naona unatoa semina bila tshrt🤣🤣🤣🤣 bff kwanza ulikuwa wapi nakutafuta sikuoni best yangu…!!
Nimekuwa mama ulisi wa Shabban Madobe
🤣🤣🤣🤣 Acha basi, hiyo siri ya kambi we vipi!!Hebu tuanze na wewe. Kati ya hizo, ni ishara ipi/zipi unapendelea kuzitumia mara kwa mara?