Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
4+Tuzae wawili na mtoto uliyezaa na mshangazi jumla watatu, mbona wanatosha!
Au dunia nzima unataka kuijaza peke yako?
Hiyo kesi akiileta nyumbani kwangu, nitakuuliza una wadogo zako wa ngapi hapa.Nishamwambia mimi wawili tu
Wee acha uongo usitake kutuangushia jumba bovu π€£π€£π€£π€£Wewe Lamomy mbaya sana aisee. Wewe na kamati yako ndio mlipenyeza habari kwake kwamba nimeoa. Na yeye akaamini, akanitosea baharini π
Safi, case closed π πHiyo kesi akiileta nyumbani kwangu, nitakuuliza una wadogo zako wa ngapi hapa.
Utajibu 10, nitakwambia haya nendeni mniletee Wajukuu 10 hapa ππ€
Aliniambia "Sitaki waume za watu Mimi" nikajiuliza "Nimeoa lini?". Kufatilia sana, nikajua waja hamkuwa na jema. Ndege akapeperukaπWee acha uongo usitake kutuangushia jumba bovu π€£π€£π€£π€£
Ww sema una tamaa shemeji, yani ww wa kumgeuka bff wangu?!!
Ww mdanganye mtoa mada ila tunajua moyo wako ulipo ππππ
Nimelia sana bffπ€£π€£π€£π€£ bff tumehujumiwa!!!
Ila shemeji mkavu sijapata kuona jamani!!!
Yani km sio yeye aliyekuwa anakubebisha na kutoa ahadi kemkem! π€£π€£π€£
Mimi na shobo zangu mpk jina nimeandaa halafu leo mkavuuuu!!! πππ
Sawa, usijali babu πHapo sawa Mkuu
Harakisheni mchakato ili mwakani nimletee zawadi ya roli Moja la udongo mwekundu pamoja na malimao π
Mamdogo aunt Joannah Njoo hapa Kuna kesi nzitoπ€£π€£π€£ ngoja tumfanyie fitna penzi life haiwezekani tuachike kiboya boya bff
Yani wote tumeachika kuanzia dada mkubwa mpk wadogo zake khaaaaa.!!! Sisy Joannah hebu njoo useme kitu. Au yule mganga wa unguja muongo katuibia pesa zetu??! πππ
Mfalme Suleiman alikuwa na Ke 700 na Masuria 300, hapo vipi Mrembo ephen...[emoji1787]Wangapi anawatongoza huko wanamkubalia, Anacheat
Mbona umerukia kwenye conclusion, kutongozwa sio kupendwaa unaweza ukatongozeka na ukawa rafiki kama rafiki wengineHabari!
Nimekutana na mkasa ambao umenifanya niamini wanaume sio watu wa kuwaamini 100%
Mimi ni mtu ambae muda mwingi najifungia ndani, lakini ikitokea nimekua mpweke sana huwa napendelea kwenda kwa jirani mwenye nyumba inayofuata baada ya kwetu.
Tumeshakua ni washkaji japo yeye ni mtu mzima kiasi, ana mume na watoto watano. Ila mimi na yeye tunaongea lugha moja. Mshkaji wangu namwita Mama Cathe. Anapendana sana na mume wake familia yao ni bora yenye upendo, kuwaona wamekumbatiana na mume wake ni jambo la kawaida sana.
Nipo karibu nae nimejua baadhi ya mambo, mume wake huwa anarudi kila siku mchana kula, mama Cathe huwa anamsubiri mchana ili wale wote saa 9.
Kwa jinsi wanavyopendana usiku wanaweka msosi nje wanakula mume, mke na watoto kulishana ni jambo la kawaida. Siku zote ninavyowachora mume anampenda sana mkewe, nilikua naona hawezi hata kumsaliti, hata michepuko haijui. Nilikua naamini kuna wanaume ni waaminifu na huyu Baba Cathe nilimuweka kundi hilo kwa jinsi wanavyoishi.
Juzi asubuhi mama kanituma nikanunue mahitaji, natembea zangu kwenye uchochoro mpana nikasikia mtu ameniita 'Ephen!' nikageuka nyuma. Nakutana na Baba Cathe akaniambia 'Nilikuona wakati unatoka nikasema nikufate sababu kila siku navizia nafasi ya kuongea na wewe lakini siipati, kwani unaenda wapi?'
Mpaka hapo nikawa nimeshangaa sikutegemea hii kauli kutoka kwake, hapo anaongea kimahaba
Huyu mzee nilikua namuheshimu sana....Nikamwambia naelekea dukani.
Akasema 'basi naomba namba yako siku yoyote naweza kukupigia tukutane sehemu X, huwa unanivutia sana nahitaji tuongee zaidi' nikamjibu sina simu
Alarm ikalia kichwani kwangu kua ule uchochoro yeyote anaweza kutokea ikawa kesi, sikumjibu nikageuka nikaendelea na safari yangu. Mimi nipo mbele yeye nyuma hapo natembea chap niumalize uchochoro akawa anaongea maneno ambayo siwezi kuyaandika hapa.
Nikamaliza uchochoro na yeye nahisi huku nyuma aligeuza, muda wote nikawa najiuliza huyu mzee kapatwa na nini?
Kilichonishtua ni jana nimekaa kibarazani na mkewe mida ya mchana, karudi mke wake akasimama kumkumbatia, huyu mzee akanikonyeza. Namuona anakuja kwa kasi!
Wanaume wote kumbe wanacheat.....!
Unique Flower kwenye ubora wako [emoji119]WAnaume ni watumiaji kwa wanawake wa njee so jichunge maana ni wewe utaachwa solemba
Pole bff utapata mwingine πππNimelia sana bff
π ππSawa, usijali babu π
Wazee tunaongoza Kwa vitendo π€Safi, case closed π π