Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masaa 24hrs unaanza kuhesabu usiku 00hrs,unakuja 1 saba,2,3,4am ni saa kumi usiku..Kichaa kimekuanza sa 4am ndio saa ngapi?
Pyeeeukaona vyema kushare huku, usisahau tena kushare ukifany kingn kwa ushaur zaid 🏃♂️
Sawa Tena ulipaswa ule ugali wa Dona,chipsi ni kiburudisho wa watoto tuu,mwanaume hupaswi kula chipsi.Jana nilikula chipsi aisee njaa imenitafuna sasa nakula ugali na dagaa, majirani sijui watanionaje
Isije ikawa wewe ndio kichaa kama hujui am na pmKichaa kimekuanza sa 4am ndio saa ngapi?
Huyu ni kizazi cha chips ndio wanaoandika ujinga kama huu.SAA 4am ni ujinga mtupu ijapo tumeelewa ni SAA 10 asb.Kichaa kimekuanza sa 4am ndio saa ngapi?
Chipsi, wali, mikate, tambi ni vyakula vya kike (laini), Me rijali ambaye hana matatizo ya akili hula chipsi dume (mihogo) au ugali dona.Jana nilikula chipsi aisee njaa imenitafuna sasa nakula ugali na dagaa, majirani sijui watanionaje
Sisi wengine chips yai tomato na chili kwa pamoja ni mboga ya ugaliChipsi sio chakula, hiyo ni anasa tu. Usiwaze kuhusu majirani na wao wana yao na hawana habari kama unawaza kuhusu wao. Mimi nilikua nakaanga samaki sa 9 usiku
Nia yako ni kutaka kutuaminisha kuwa majirani zako wanatabia za kuchungulia madirishani jambo ambalo si zuri.Jana nilikula chipsi aisee njaa imenitafuna sasa nakula ugali na dagaa, majirani sijui watanionaje!
Kwa hiyo mida labda uwagongee milango uwaambie wala ugali na dagaa pengine ndo wakakushangaa ila kwa hiyo mida watakuwa wamelala au unapikia nje mkuuJana nilikula chipsi aisee njaa imenitafuna sasa nakula ugali na dagaa, majirani sijui watanionaje!