Nimeamua kuachana na Jiji la Dar, nazifuata fursa Mtwara/Lindi

Nimeamua kuachana na Jiji la Dar, nazifuata fursa Mtwara/Lindi

Hell2Heaven

Senior Member
Joined
Mar 3, 2021
Posts
173
Reaction score
465
Habari wana Jf,

Baada ya kusota bila ajira kwa miaka 5 Sasa nimekubali Jiji la Dar siyo sehemu yangu sahihi ya kuishi na kufanikiwa, hivyo nime amua kwenda kianzisha makazi Mtwara Mjini au Lindi Mjini

Naombeni Wake wa maeneo husika wanisaidie kujua.

1. Bei ya frame ya biashara maeneo ya Lindi mjini karibu na Soko kuu la vyakula?

2. Lindi/Mtwara mjini kuna upungufu wa bidhaa gani ambayo hata nikiwa nazitoa Dar au mkoa wowote kuleta apo lindi piga uwa Wamakuwa/Makonde wata nunua kwa gharama yoyote?

3. Tupeane Taarifa ya Fursa ya biashara zinazo wezekana Lindi na Mtwara zaidi kuliko maeneo yote.

Asanteni, nategemea ushauri wenu wapendwa.
 
Kuliko uende lindi bora masasi lakini biashara yeyote inategemea mtaji wako mfano ukienda masasi una weka frem ya spea zozote unatoboa ndani ya mda mfupi ... huu ni mtazamo wangu
Nimelipokea kaka..nalifanyia kazi..
 
Hongera mkuu wewe tangulia mimi nakuja mtwara huko muda si mrefu.

Mkuu sehemu hizo unaweza uza vitu vya kike mfano sendo, hijabu ambayo wewe unaweza pata kwa bei nafuu maana umeishi dar hope unafahamu.

Unaweza uza spare za pikipiki maana wilayani na maeneo jirani usafirii mkuu ni pikipiki ili pia litakufaa
 
Habari wana Jf,

Baada ya kusota bila ajira kwa miaka 5 Sasa nimekubali Jiji la dar siyo sehemu yangu sahihi ya kuishi na kufanikiwa, hivyo nime amua kwenda kianzisha makazi Mtwara Mjini au Lindi Mjini

Naombeni Wake wa maeneo husika wanisaidie kujua.

1. Bei ya frame ya biashara maeneo ya Lindi mjini karibu na Soko kuu la vyakula?

2. Lindi/Mtwara mjini kuna upungufu wa bidhaa gani ambayo hata nikiwa nazitoa Dar au mkoa wowote kuleta apo lindi piga uwa Wamakuwa/Makonde wata nunua kwa gharama yoyote?

3. Tupeane Taarifa ya Fursa ya biashara zinazo wezekana Lindi na Mtwara zaidi kuliko maeneo yote.

Asanteni, nategemea ushauri wenu wapendwa.
Umefanya uamuzi sahihi, mimi mdogo wangu alimaliza sheria 2017, akakaa dar mpaka 2020, akaona isiwe tabu akaamua aende huko kasuru. Aisee toka mwaka jana mpaka leo, amepiga hatua kubwa sana na anaona future mbele yake. Maisha ni popote sema tu tunang'ang'ania dar wakati wengine tuko huku bunju hatuna tofauti na walioko lindi maana hata madaraja na miundombinu na raha za jiji hatuhusiki katika matumizi.
 
Habari wana Jf,

Baada ya kusota bila ajira kwa miaka 5 Sasa nimekubali Jiji la dar siyo sehemu yangu sahihi ya kuishi na kufanikiwa, hivyo nime amua kwenda kianzisha makazi Mtwara Mjini au Lindi Mjini

Naombeni Wake wa maeneo husika wanisaidie kujua.

1. Bei ya frame ya biashara maeneo ya Lindi mjini karibu na Soko kuu la vyakula?

2. Lindi/Mtwara mjini kuna upungufu wa bidhaa gani ambayo hata nikiwa nazitoa Dar au mkoa wowote kuleta apo lindi piga uwa Wamakuwa/Makonde wata nunua kwa gharama yoyote?

3. Tupeane Taarifa ya Fursa ya biashara zinazo wezekana Lindi na Mtwara zaidi kuliko maeneo yote.

Asanteni, nategemea ushauri wenu wapendwa.
Nakushauri nenda Masasi,fursa ni nyingi sana ila unatakiwa kulenga biashara ambayo uuzaji wake isiwe bei kubwa na faida uitakayo iwe ndogo ili uuze vitu vingi kwa muda mfupi,mie niliona vitu kama nguo,viatu,matunda nk
 
Umefanya maamuzi sahihi, mimi mdogo wangu alimaliza sheria 2017, akakaa dar mpaka 2020, akaona isiwe tabu akaamua aende huko kasuru. Aisee toka mwaka jana mpaka leo, amepiga hatua kubwa sana na anaona future mbele yake. Maisha ni popote sema tu tunang'ang'ania dar wakati wengine tuko huku bunju hatuna tofauti na walioko lindi maana hata madaraja na miundombinu na raha za jiji hatuhusiki katika matumizi.

Correct
 
Habari wana Jf,

Baada ya kusota bila ajira kwa miaka 5 Sasa nimekubali Jiji la dar siyo sehemu yangu sahihi ya kuishi na kufanikiwa, hivyo nime amua kwenda kianzisha makazi Mtwara Mjini au Lindi Mjini

Naombeni Wake wa maeneo husika wanisaidie kujua.

1. Bei ya frame ya biashara maeneo ya Lindi mjini karibu na Soko kuu la vyakula?

2. Lindi/Mtwara mjini kuna upungufu wa bidhaa gani ambayo hata nikiwa nazitoa Dar au mkoa wowote kuleta apo lindi piga uwa Wamakuwa/Makonde wata nunua kwa gharama yoyote?

3. Tupeane Taarifa ya Fursa ya biashara zinazo wezekana Lindi na Mtwara zaidi kuliko maeneo yote.

Asanteni, nategemea ushauri wenu wapendwa.
Karibu...
 
Back
Top Bottom