Nimeamua kuachana na Jiji la Dar, nazifuata fursa Mtwara/Lindi

Nimeamua kuachana na Jiji la Dar, nazifuata fursa Mtwara/Lindi

sasa akili zimeanza kuwaingia sasa. Dar kama una mtaji wa milioni 30 kwenda juu wewe ni machinga wa dar.

dar ya sasa kama una akili ni kuhama kuchukua fursa za hapo na kupeleka mikoani
 
sasa akili zimeanza kuwaingia sasa. Dar kama una mtaji wa milioni 30 kwenda juu wewe ni machinga wa dar.

dar ya sasa kama una akili ni kuhama kuchukua fursa za hapo na kupeleka mikoani
kweli kabisa
 
Nakushauri nenda Masasi,fursa ni nyingi sana ila unatakiwa kulenga biashara ambayo uuzaji wake isiwe bei kubwa na faida uitakayo iwe ndogo ili uuze vitu vingi kwa mfupi,mie niliona vitu kama nguo,viatu,matunda nk
Sahihi
 
2007 nlimaliza degree yangu UD 2008 nikapata kazi mwanza nikaja kuriport, akatakiwa mtu mwingine wa kusaidana naye, nikawapigia collegemate tuliokuwa darasa moja wakagoma kabisa kuja wanasema acha wapambane hapahapa dar. 2018 wote nliowapigia walikuwa bado wpo mtaani hwana kaziwawili kati yao wakanipigia simu kuulizia zile nafasi kama.bado zipo hata kuvoluntia wapo tayari. Wakati huo mm nna nyumba sita ninadrive mkweche flani
 
2007 nlimaliza degree yangu UD 2008 nikapata kazi mwanza nikaja kuriport, akatakiwa mtu mwingine wa kusaidana naye, nikawapigia collegemate tuliokuwa darasa moja wakagoma kabisa kuja wanasema acha wapambane hapahapa dar. 2018 wote nliowapigia walikuwa bado wpo mtaani hwana kaziwawili kati yao wakanipigia simu kuulizia zile nafasi kama.bado zipo hata kuvoluntia wapo tayari. Wakati huo mm nna nyumba sita ninadrive mkweche flani
Soon nakuja mwanza..kuweka makazi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Habari wana Jf,

Baada ya kusota bila ajira kwa miaka 5 Sasa nimekubali Jiji la dar siyo sehemu yangu sahihi ya kuishi na kufanikiwa, hivyo nime amua kwenda kianzisha makazi Mtwara Mjini au Lindi Mjini

Naombeni Wake wa maeneo husika wanisaidie kujua.

1. Bei ya frame ya biashara maeneo ya Lindi mjini karibu na Soko kuu la vyakula?

2. Lindi/Mtwara mjini kuna upungufu wa bidhaa gani ambayo hata nikiwa nazitoa Dar au mkoa wowote kuleta apo lindi piga uwa Wamakuwa/Makonde wata nunua kwa gharama yoyote?

3. Tupeane Taarifa ya Fursa ya biashara zinazo wezekana Lindi na Mtwara zaidi kuliko maeneo yote.

Asanteni, nategemea ushauri wenu wapendwa.
Kama unataka biashara nenda masas..bei ya frem kwa soko la mkuti ni m2 hadi m4 kwa mwaka..chini ya hapo unapata pia kwa maeneo mengine kama soko la tandale.

Biashara kama walivyosema wadau spea za pikipiki..nafaka..nyama..dagaa na samaki.
Vipodozi na nguo za wanawake.

Speaa za electronics nazo dili sana.

Njoo pia jiandae kupiga biashara ya nafaka kulingana na msimu..choroko..mbaazi..ufuta na korosho.

Karibu sana..ukifika usisahau kununua ardhi mashamba na viwanja.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu njoo masasi au newala ndio kuna biashara kwa kusin
 
Ndio zipo, ndiomaana kuna watu mikoani wana uchumi mkubwa kuliko waliopo dar
Watu wa dsm waaaminigi mikoani kuna wakulima tu..kumbe kuna madoni kuliko hata wengi waliopo dsm.

Aende..mwanza..geita..kahama..katoro ajionee matajiri.

#MaendeleoHayanaChama
 
sasa akili zimeanza kuwaingia sasa. Dar kama una mtaji wa milioni 30 kwenda juu wewe ni machinga wa dar.

dar ya sasa kama una akili ni kuhama kuchukua fursa za hapo na kupeleka mikoani
Dsm kama huna hela za kifisadi utaishia kutoil tuuu, mikoani pa ukweli sana....!!!
 
Kama dsm imekushinda utapaweza mkoani kweli ....

Dsm ndio kila kitu ,biashara za kila aina zinafanyika ,Sasa sijui unakimbilia wapi ....
Huu mtazamo ndio unafanya wengi wakomae huko dsm na kuwa na too much expectations..matokeo yake mnaumizwa na sonona..Tanzania ni kubwa sana,haihitaji akili nyingi kulitambua hilo.
 
Kama dsm imekushinda utapaweza mkoani kweli ....

Dsm ndio kila kitu ,biashara za kila aina zinafanyika ,Sasa sijui unakimbilia wapi ....
Kwa biashara ndogo ndogo , Dar kweli inaweza kuwa sehemu nzuri , lakini kama una malengo ya biashara kubwa dar sio sehemu sahihi kuanza
Huyu jamaa anaongelea level ya Fremu, sio machinga.
 
Back
Top Bottom