Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #341
Au sioWanawake hawapewi sababu WANAUME wanapewa wanawake Sasa utampaje mwanamke mwanaume, Bali mwanaume mwanamke,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sioWanawake hawapewi sababu WANAUME wanapewa wanawake Sasa utampaje mwanamke mwanaume, Bali mwanaume mwanamke,
Sahihi kabisa, hata hizo Sheria zao mababu zetu wali kuwa nazo.Ukiishi kwa kujiamulia mwenyewe utaishi kwa raha
Unatambua maama na asili ya U-Islam au umekaririshwa tu?
U-Islam asili yake ni mila na tamaduni za ukoo wa Islam na lazima Mu-Islam awe mwarabu kulingana na asili ya ukoo wa islam kuwa ni Iatabini.
Exactly,wafia dini hawana muda wa kujiuliza au kudadisi mafundisho waliyolishwaBila dini Kuna uhalisia ulio halisi wa asili. Jiulize nyuki anatengeneza asali ana dini au amefundishwa? Je, mchwa amefundishwa kujenga nyumba yake? Buibui amefundishwa kutengeneza utando wake? Ndege kama shorwe amefundishwa kujenga kiota chake?
Kwanini wewe na mimi tufundishwe kuhusu dini tunapozaliwa?
Dini imewekwa kwa ajili ya kunufaisha watawala/Elites.
Ukijiuliza maswali utapata majibu
Huo ndiyo utumwa wa kifikira unaoelezwa sasa,hujui ulikotoka,uko wapi na unaenda wapi!!Mimi sifuati tamaduni wala kwetu hakuna anayefuata. Sijui hta salamu ya kabila langu.
Kajitambua huyoMkuu,
Nini kimekukuta? Nini kime ishake Imani YAKO.
sawaHaya uliyo yaandika yanapatikana katika Kitabu gani ?
Tangu najifunza UISLAMU mpaka Leo, sijawahi kuona hiki unachokiandika.
Kwa ufupi umeandika uongo na inaonekana hujui hata maana ya UISLAMU.
UISLAMU upo tangu Adamu, na hakuna Mtume wala nabii ambaye hakuna Muislamu.
Hakuna Ukoo wa Islam.
naamKajitambua huyo
Nilipozaliwa kwetu hakuna makabila yalishaisha ...Siwezi kufuata makabila nayasikia tu ...Nimeanzi pale nilipozaliwa sio mtumwa may be usome kwanza utaelewa .Huo ndiyo utumwa wa kifikira unaoelezwa sasa,hujui ulikotoka,uko wapi na unaenda wapi!!
Kurudi wapi?Anawajua waliowake kama wewe ni Mwana wa Mungu huna muda mrefu utarudi mwenyewe.
NaamExactly,wafia dini hawana muda wa kujiuliza au kudadisi mafundisho waliyolishwa
Wapi huko?Anawajua waliowake kama wewe ni Mwana wa Mungu huna muda mrefu utarudi mwenyewe.
Mkuu hujalazimishwa kufuata Dini yyote fuata dini upendayo hata usifuate poa tu .Nimepiga hesabu nikaona dini ni urithi mmoja wa ajabu sana, ninaamini Mungu yupo ila nita mwabudu nje ya hilo box.
Yaani unazaliwa na kukabidhiwa kitu usichokielewa au kupewa nafasi ya kuchagua.
Na hizi dini ndio zimetengeneza viumbe wenye hulka ya mazombie au vampire, ambao wao kazi yao ni kufata wasemayo viongozi au maandishi wasiyoelewa asili yake.
Mara mtu ampige au amtukane mwenzie kisa dini, yaani unajiona bora kisa dini tena utasikia wewe huendi mbinguni!.
Kuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizozielewa.
sasa hapa wewe ume andika nini?Mkuu hujalazimishwa kufuata Dini yyote fuata dini upendayo hata usifuate poa tu .