Nimeamua kuanza upya bila kujali watasema nini

Nimeamua kuanza upya bila kujali watasema nini

majam19

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2024
Posts
900
Reaction score
971
HAbar za wakati.

Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusu ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko

Baada ya kumueleza hisia zangu kwake akawa mgumu lakn baadae kama miezi kadhaa amenikubali na mama yake mzazi pia ameniridhia kuwa karibu na Binti yake

Hivyo tupo sawa kwa sasa na pia mda sio mrefu nampeleka posa Kisha ndoa ifuate Mungu asaidie

Nimeamua kuanza upya bila kujali nyuma kilitokea nini

Je? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi
 
HAbar za wakati.
Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusa ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko

Baada ya kumueleza hisia zangu kwake akawa mgumu lakn baadae kama miez kazaa amenikubali na mama yake mzazi piah amenilidhia kuwa karibu na Binti yake

Hivyo tupo saw kwasas na piah mda sio mrefu nampeleka posa Kisha ndoa ifuate mungu asaidie
;NIMEAMUA KUANZA UPYA BILA KUJALI NYUMA KILITOKEA NIN
je? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi
Wewe umepata singo maza, ukianza hivo eti hujali ya nyuma jua tu unajifaliji......ila vijana watanzania mnawekeza sanaa mda kwenye mapenzi sijui pesa mna zitafuta mda gani?
 
HAbar za wakati.
Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusa ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko

Baada ya kumueleza hisia zangu kwake akawa mgumu lakn baadae kama miez kazaa amenikubali na mama yake mzazi piah amenilidhia kuwa karibu na Binti yake

Hivyo tupo saw kwasas na piah mda sio mrefu nampeleka posa Kisha ndoa ifuate mungu asaidie
;NIMEAMUA KUANZA UPYA BILA KUJALI NYUMA KILITOKEA NIN
je? Huenda nimefanya jambo lisilo sahihi
dronedrake Liverpool VPN
 
Back
Top Bottom